Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mwita Waitara amewataka wachimbaji wadogo kuwa na sehemu ya pamoja na kuchenjua dhahabu ili kudhibiti kusambaa kwa mabaki ya zebaki. Waitara alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wachimbaji wadogo kwenye mgodi mdogo wa Blue Leaf …
Soma zaidi »Rais
December, 2020
-
30 December
DKT. NDUGULILE AIPA SIKU 90 SHIRIKA LA POSTA KUBORESHA UTENDAJI NA UFANISI WAKE
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa pili kulia) na Naibu Waziri wake, Mhandisi Kundo A. Mathew (wa kwanza kushoto) wakikagua moja ya kifurushi wakati wa ziara yake kwenye Shirika la Posta Tanzania, Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile …
Soma zaidi » -
29 December
LUKUVI AANZA KUWASAKA WAMILIKI WA ARDHI WASIOCHUKUA HATI KWA SIMU
Na Munir Shemweta, DAR ES SALAAM Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameanza kazi ya kuwatafuta wamiliki wa ardhi walioshindwa kuchukua hati zao kwenye ofisi za Ardhi za mikoa kwa kuwapigia simu wamiliki wa jiji la Dar es Salaam na kuwataka kuzifuata hati zao katika kipindi …
Soma zaidi » -
29 December
VIWANDA KUONDOA UMASIKINI WA WAFUGAJI NA WAVUVI
Na. Edward Kondela Serikali imesema itahakikisha sekta za mifugo na uvuvi zinawaondoa wananchi katika umasikini, kupata ajira na nchi iweze kuuza bidhaa bora za mazao ya mifugo na uvuvi ndani na nje ya nchi. Akizungumza Jana (28.12.2020) katika siku yake ya kwanza ya ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani …
Soma zaidi » -
29 December
NAIBU WAZIRI MWITA WAITARA AMETEMBELEA MGODI WA DHAHABU WA GEITA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mwita Waitara (katikati) akikagua shughuli za uchimbaji katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) mkoani Geita na kuridhishwa na utunzaji wa mazingira mgodini hapo. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mwita Waitara ametembelea Mgodi wa …
Soma zaidi » -
29 December
DKT. NDUGULILE AHIMIZA TAASISI ZA SERIKALI KUTUMIA KITUO CHA TAIFA CHA KUHIFADHI DATA KUHIFADHI TAARIFA ZAO
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, Waziri Kindamba akimshukuru Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa kwanza kulia) kwa kutembelea Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Data, Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya …
Soma zaidi » -
28 December
GEKUL AWATAKA WAFUGAJI KUWA WAZALENDO
Mkurugenzi wa kiwanda hicho Shabbir Virjee akitoa maelezo kwa Naibu waziri wa Mifugo Pauline Gekul katika Ziara maalum kiwandani hapo ili kujionea uendeshaji wa kiwanda hicho. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Pauline Gekul amewataka wafugaji haswa wa Kanda ya Kaskazini, kuhakikisha kuwa wanauza Mifugo yao katika kiwanda Cha Eliya …
Soma zaidi » -
24 December
WATUMISHI HOUSING YATAKIWA KUTUMIA ‘FORCE ACCOUNT’ KATIKA MIRADI YA UJENZI WA NYUMBA
Na James Mwanamyoto – Dar es SalaamWatumishi Housing Company imetakiwa kuacha kuendelea kutumia Wakandarasi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za kuwauzia na kuwapangisha Watumishi wa Umma na badala yake watumie ‘force account’ ili kuokoa gharama na kujenga nyumba ambazo watumishi wataweza kupanga na kuzinunua. Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi …
Soma zaidi » -
24 December
SERIKALI INATENGENEZA MAZINGIRA MAZURI KWA WAWEKEZAJI – WAITARA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mwita Waitara amesema Serikali inatengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji wanaofuata sheria. Waitara ametoa kauli hiyo leo Desemba 23, 2020 alipotembelea kiwanda cha Saji Packaging kinachojihusisha na uzalishaji wa vifungashio vya plastiki na kurejeleza taka za plastiki kilichopo Iliemela jijini …
Soma zaidi » -
24 December
KAGERA KUNUFAIKA NA UMEME WA UHAKIKA – NAIBU WAZIRI BYABATO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati inaendelea kuboresha Huduma ya Umeme kwa kununua mitambo mipya zikiwemo Transfoma, pamoja na kusimamia Ujenzi wa Miradi ya Kufua Umeme ya Rusumo na Kikagati, ili kuondokana na adha ya kukatika kwa Umeme Mkoani Kagera, sambamba na kuachana na Umeme wa kununua kutoka Nchi Jirani ya …
Soma zaidi » -
24 December
TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI KIDUNIA NA YA KWANZA AFRIKA MASHINDANO YA TEHAMA
Waziri wa Mawasiliano na Teknollojia ya Habari, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa mashindano ya TEHAMA ambapo Tanzania imeshika nafasi ya pili kidunia na ya kwanza Afrika. Tuzo hizo zimetolewa Dar es Salaam ambapo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim …
Soma zaidi » -
23 December
DKT. NDUGULILE ALITAKA BARAZA LA WATUMIAJI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA WANANCHI
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amelitaka Baraza la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA – CCC) kushughulikia malalamiko ya wananchi na changamoto wanazozipata wakati wanatumia huduma na bidhaa za mawasiliano nchini Dkt.Ndugulile ameyasema hayo wakati wa ziara yake alipotembelea TCRA – CCC akiwa ameambatana na …
Soma zaidi » -
23 December
WAITARA ATETA NA WAFANYABIASHARA CHUMA CHAKAVU, ARIDHISHWA KIWANDA CHA KUREJELEZA CHUPA ZA PLASTIKI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mwita Waitara akiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara wa chuma chakavu wa jijini Mwanza aliofanya kikao nao kwa lengo la kusikiliza changamoto zao na kutoa elimu ya utaratibu wa vibali. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mwita Waitara amewataka …
Soma zaidi » -
23 December
BYABATO AKERWA NA CHANGAMOTO NDOGO ZA UKOSEFU WA UMEME
Kufuatia uwepo wa Changamoto mbali zinazohusu Umeme Maeneo mengi hapa Nchini, Naibu Waziri wa Nishati Adv. Stephen Byabato (Mb) ametoa mwelekeo wa Wizara husika katika kutafutia Ufumbuzi Kero sugu za Umeme zinazowakabili Wananchi ambao kipekee ndio Watumiaji wa Nishati hiyo. Naibu Waziri wa Nishati Adv. Stephen Byabato (Mb) Naibu Waziri …
Soma zaidi » -
22 December
SHERIA, MWENENDO WA MASHAURI NA HUKUMU ZIANDIKWE KWA LUGHA YA KISWAHILI – DKT MWIGULU NCHEMBA
Waziri wa katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati akizungumza na Menejimenti ya Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania (Law School of Tanzania) wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara ya kikazi Jijini Dar es salaam tarehe 22 Disemba 2020. Serikali imedhamiria kuwasaidia kwa …
Soma zaidi »