WAZIRI MKUU APOKEA TRENI YA MIZIGO NA KUZINDUA SAFARI ZA TRENI ZA MIZIGO KATIKA RELI YA KASKAZINI Matokeo ChanyA+ July 20, 2019 Taarifa Vyombo vya Habari, Taarifa ya Habari, Tanzania MpyA+, Waziri Mkuu Acha maoni 1,071 Imeonekana Wananchi wa Moshi, wakishangilia kwa furaha kubwa baada ya kupokea treni ya mizigo katika reli ya Kaskazini, wakati ikiwasili tokea Tanga, Julai 20.2019 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea treni ya mizigo, iliyowasili tokea Tanga, kwenye uzinduzi wa treni hiyo katika reli ya Kaskazini Julai 20.2019. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwapungia mikono wananchi waliyofika kushuhudia uzinduzi wa treni ya mizigo katika reli ya Kaskazini uliyofanyika katika stesheni ya reli Moshi, Julai 20.2019. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea treni ya mizigo, iliyowasili tokea Tanga, kwenye uzinduzi wa treni hiyo katika reli ya Kaskazini Julai 20.2019. Wananchi wa Moshi, wakishangilia kwa furaha kubwa baada ya kupokea treni ya mizigo katika reli ya Kaskazini, wakati ikiwasili tokea Tanga, Julai 20.2019 Ad Share Facebook Twitter Stumbleupon LinkedIn Pinterest