WAZIRI MKUU APOKEA TRENI YA MIZIGO NA KUZINDUA SAFARI ZA TRENI ZA MIZIGO KATIKA RELI YA KASKAZINI

PM 1-01
Wananchi wa Moshi, wakishangilia kwa furaha kubwa baada ya kupokea treni ya mizigo katika reli ya Kaskazini, wakati ikiwasili tokea Tanga, Julai 20.2019
PM 2-01
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea treni ya mizigo, iliyowasili tokea Tanga, kwenye uzinduzi wa treni hiyo katika reli ya Kaskazini Julai 20.2019.
PM 4-01
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwapungia mikono wananchi waliyofika kushuhudia uzinduzi wa treni ya mizigo katika reli ya Kaskazini uliyofanyika katika stesheni ya reli Moshi, Julai 20.2019.
PM 3-01
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea treni ya mizigo, iliyowasili tokea Tanga, kwenye uzinduzi wa treni hiyo katika reli ya Kaskazini Julai 20.2019.
PM 5-01
Wananchi wa Moshi, wakishangilia kwa furaha kubwa baada ya kupokea treni ya mizigo katika reli ya Kaskazini, wakati ikiwasili tokea Tanga, Julai 20.2019
Ad

Unaweza kuangalia pia

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *