IRINGA MPYA+

WANANCHI MKOANI IRINGA
Kina mama na wananchi wengine mkoani Iringa wakiwa katika moja ya mikutano ya hadhara ya Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Ally Hapi katikaziara zake za awamu ya kwanza ya utekelezaji wa kampeni ya IRINGA MPYA+
  • Mkakati wenye Matokeo chanyA+ 110% wa mkoa wa Iringa.
  • Mhe. Ally Hapi, Mkuu wa Mkoa huo, amefanya ziara katika tarafa zote 15
WANANCHI MKOANI IRINGA
Wananchi mkoani Iringa wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Ally Hapi alipokuwa katika ziara yake ya awamu ya kwanza ya IRINGA MPYA+
  • Amefanya mikutano mikubwa 20 na mikutano midogo 65
  • Mhe. Hapi amefanikiwa  kutatua kero mbalimbali zipatazo 849 za wananchi wa mkoa huo
MZEE ALIYEVUNJIWA NYUMBA KWA UONEVU
Mzee Lonjino Utenga wa Kata ya Kihesa akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na viongozi wengine waandamizi wa mkoa huo kuhusu kero yake ya kuvunjiwa nyumba kwa sababu ambazo alidai hazina mashiko. Baada ya kuwasilisha kero hiyo, Mhe.Hapi aliwahoji watendaji wa serikali wa eneo hilo kama wanafahamu tatizo la mzee Utenga mahojiano ambayo baadae yalibaini mzee huyo kuonewa na kuagiza kuchukuliwa hatua kwa wote waliohusuka kusababisha kadhia hiyo kwa mzee Utenga na familia yake.
  • RC Hapi katika ziara hiyo ya Iringa MpyA+ ametembelea miradi ya maendeleo yenye thamani ya Tsh. Bilioni 78.1

RC IRINGA, MHE. ALLY HAPI

  • Ameweza kusafiri umbali wa km 3,345 kutoka tarafa hadi tarafa.
  • Tarehe 29 Septemba, 2018 alihitimisha awamu ya kwanza ya ziara hiyo ikiwa na mafanikio makubwa.

Sikiliza moja ya kero zilizotatuliwa katika ziara ya awamu ya kwanza ya IRINGA MPYA+

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WOMENLIFT HEALTH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Maelezo kutoka kwa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *