Ndio korosho bora zaidi duniani.

TANZANIA YA VIWANDA: Wakulima Mkoani Ruvuma Waendelea Kunufaika na Kiwanda Cha Kubangua Korosho!

  • Zaidi ya tani 20 ambapo kg. 20,920,519 zilinunuliwa kutoka katika minada ya wakulima.
  • Wakulima wanufaika kwa mauzo ya korosho hizo kwa kupata Tsh. Bilioni 79.78 kama malipo.
  • Serikali yajipanga kuwathibiti wote wanaohujumu zao la korosho.
  • Yawataka wakulima kujenga uaminifu kwa kuuza korosho safi ili kuwa na soko imara.
Ad

Unaweza kuangalia pia

KILA MTANZANIA ANAWEZA KUWEKEZA, TUMIENI FURSA ZILIZOPO – WAZIRI KAIRUKI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji nchini Mhe. Angellah Kairuki …

Oni moja

  1. Safi haya ndio mafanikio

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *