Maktaba ya Kila Siku: November 9, 2018

“Sisi sote Tunajenga Nyumba Moja Bila Kujali Itikadi” – MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi wa Wilaya ya Rombo kufanya kazi kwa kushirikiana. Makamu wa Rais ameyasema hayo leo wakati akipokea taarifa ya Wilaya hiyo. ” Sisi sote tunajenga nyumba moja bila kujali itikadi”. Aidha amewatahadharisha Viongozi hao kuacha tabia …

Soma zaidi »