WAZIRI WA MADINI WA UGANDA YUPO NCHINI KUJIFUNZA NAMNA SEKTA YA MADINI INAVYOENDESHWA

WAZI
Waziri wa Madini wa Uganda, Peter Lokeris na Ujumbe wake wameanza ziara ya kikazi nchini yenye lengo la kujifunza namna Sekta ya Madini inavyoendeshwa na namna Sheria na Kanuni zinavyosimamiwa, pamoja na uendeshaji wa shughuli za uchimbaji madini.
WAZIRI WA MADINI
Waziri wa Madini wa Uganda, Peter Lokeris na Ujumbe wake wakiwa na Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo wameanza ziara ya kikazi nchini yenye lengo la kujifunza namna Sekta ya Madini inavyoendeshwa na namna Sheria na Kanuni zinavyosimamiwa, pamoja na uendeshaji wa shughuli za uchimbaji madini.
NAIBU WZIRI
Naibu Waziri wa Madini  Stanslaus Nyongo anayezungumza akiwa na Waziri wa Madini wa Uganda, Peter Lokeris  wa pili toka kushoto na Ujumbe wake wakiwa kwenye kikao kazi katika ziara ya kikazi nchini yenye lengo la kujifunza namna Sekta ya Madini inavyoendeshwa na namna Sheria na Kanuni zinavyosimamiwa, pamoja na uendeshaji wa shughuli za uchimbaji madini.
Ad

Unaweza kuangalia pia

UCHUMI WA TANZANIA WAZIDI KUKUA NA KUIMARIKA

Hali ya uchumi wa Tanzania yazidi kuimarika na kukua  kwa asilimia 6.9 ikiwa ni  takwimu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *