WAFANYABIASHARA WA TANZANIA NA CHINA WAKUTANA KWENYE MKUTANO WA UWEKEZAJI NA BIASHARA NCHINI CHINA

BALOZI
Balozi wa Tanzania nchini China Mh.Mbelwa Kairuki, akizungumza katika Mkutano wa Uwekezaji na Biashara ambao umefanyika  Jijini Guangzhou. Mkutano huo umeandaliwa na Jumuiya ya Wafanyabishara Tanzania (TCCIA) na kuhudhuriwa na wafanyabiashara 100 kutoka Tanzania na China. Ujumbe wa wafanyabiashara wa Tanzania upo China kwenye ziara ya siku 10
MKUTANO
Baahdi ya wadau wakifatilia Mkutano wa Uwekezaji na Biashara ambao umefanyika  Jijini Guangzhou. Mkutano huo umeandaliwa na Jumuiya ya Wafanyabishara Tanzania (TCCIA) na kuhudhuriwa na wafanyabiashara 100 kutoka Tanzania na China. Ujumbe wa wafanyabiashara wa Tanzania upo China kwenye ziara ya siku 10
mkutano
Baahdi ya wadau wakifatilia Mkutano wa Uwekezaji na Biashara ambao umefanyika  Jijini Guangzhou. Mkutano huo umeandaliwa na Jumuiya ya Wafanyabishara Tanzania (TCCIA) na kuhudhuriwa na wafanyabiashara 100 kutoka Tanzania na China. Ujumbe wa wafanyabiashara wa Tanzania upo China kwenye ziara ya siku 10
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KAIRUKI AWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji nchini Mhe. Angellah Kairuki …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *