SPIKA NDUGAI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SAYANSI

NAIBU SPIKA
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wanasayansi na wageni mbali mbali katika Maadhimisho ya wiki ya Wanasayansi wa Maabara za Afya yaliyofanyika leo katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
SPIKA
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akimzungumza na Kaimu Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dodoma.
S
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiwa na Kaimu Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dodoma.
JOB 5-01
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiwa na Kaimu Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dodoma.
Ad

Unaweza kuangalia pia

NCHI ZA SADC ZATAKIWA KUTATHMINI UCHUMI WAKE BILA KUTEGEMEA MASHIRIKA YA KIMATAIFA PEKEE

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema kuwa nchi za Afrika hasa zilizopo …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *