MATUKIO MBALIMBALI YA ZIARA YA PROF KABUDI NCHINI CHINA

CH
Meneja wa TANTRADE Ndugu Stephen Koberou akitoa maelezo juu ya bidhaa za Tanzania kwa Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni na Naibu Waziri Mkuu wa China walipotembelea banda la Tanzania katika maonesho ya China-Africa Economic & Trade Expo jijini Changsha
CH
Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba Kabudi akisaini kitabu cha wageni katika banda la Tanzania katika maonesho ya International Horticulture Expo, Beijing nchini China
CH
Chuo Kikuu cha Beijing Institute of Technology (BIT) kimesaini makubaliano ya kuanzisha ushirikiano na Wakala wa Serikali Mtandao katika utafiti, mafunzo na ubunifu. Makubaliano hayo yamesainiwa leo na Rais wa BIT Prof Zhang Jun na Balozi Mbelwa Kairuki
CH
Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba Kabudi akitembelea wadau wa kahawa kutoka Tanzania walioshiriki katika siku ya Tanzania katika maonesho ya International Horticulture Expo Beijing nchini China
CH
Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba Kabudi akitembelea wadau wa kahawa kutoka Tanzania walioshiriki katika siku ya Tanzania katika maonesho ya International Horticulture Expo Beijing nc
CH
 Mkurugenzi Wa Biashara wa Jimbo la Hubei Ndugu Chen Huasong Nchini China ameshiriki katika mkutano wa kuvutia uwekezaji kutoka Jimbo la Hubei uliofanyika pembezoni mwa mkutano wa kwanza wa China-Africa Economic Expo
CH
Waziri wa Mambo ya Nje Mhe Palamagamba Prof Kabudi afanya mazungumzo na Mkurugenzi Wa Biashara wa Jimbo la Hubei Ndugu Chen Huasong. Aidha, Mhe Kabudi ameshiriki katika mkutano wa kuvutia uwekezaji kutoka Jimbo la Hubei uliofanyika pembezoni mwa mkutano wa kwanza wa China-Africa Economic Expo
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI ZUNGU AHUDHURIA MKUTANO WA 7 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MALIASILI WA JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI

             

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *