MAKAMU WA RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA KUCHAKATA MPUNGA

MR 1-01
Kiwanda cha kuchakata mpunga
MR 2-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kutoka kwa Meneja Ufundi wa Kiwanda cha kuchakata Mpunga na kuzalisha Mchele cha Murza Wilmer East Africa Miller Ltd Mkoani Morogoro Bw. Vaidya Subramaniam wakati wa hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi wa Kiwanda hicho  Agost 07,2019. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa Ziara ya kikazi ya siku Tatu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

 

MR 4-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Kiwanda Cha kuchakata Mpunga na kuzalisha Mchele cha Murza Wilmer East Africa Miller Ltd kiliopo Mkoani Morogoro  Agost 07,2019. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa Ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE:KIKAO CHA MWENYEKITI WA CCM ,VIONGOZI NA WATENDAJI WA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ZA MIKOA NA WILAYA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *