NAIBU WAZIRI MGALU AWASHA UMEME DUNDUMWA KILOSA

  • Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewasha umeme katika kitongoji cha Dundumwa, Kijiji cha Ludewa Batini, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro.
  • Tukio hilo lilifanyika Agosti 27 mwaka huu, akiwa katika ziara ya kazi mkoani humo kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme pamoja na kuzungumza na wananchi.
  • Akiwa amefuatana na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wataalam, Naibu Waziri pia alitembelea kijiji cha Kidete na Lumuma, ambapo alisikiliza kero za wananchi hususan zinahosu sekta ya nishati na kuwaeleza mikakati mbalimbali inayotekelezwa na serikali katika kuzitatua.
SB 2-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kidete, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro, Agosti 27, 2019.
  • Moja ya kero zilizowasilishwa na wananchi ni suala la kushuhudia miundombinu ya umeme ikipita kwenye maeneo yao pasipo wao kuwa na umeme.
  • Akitoa maelezo ya ufafanuzi kwa suala hilo, Naibu Waziri aliwaeleza kuwa serikali imekwishatoa maelekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuhakikisha maeneo yote nchini, yaliyopitiwa na miundombinu ya umeme, yanashushiwa nishati hiyo na kuunganishwa kwa wananchi.
  • Alisema, zoezi hilo litaanza kutekelezwa hivi karibuni hivyo akawataka kuwa na subira.
  • Akijibu hoja kuhusu baadhi ya maeneo kutofikiwa na umeme hadi sasa, Naibu Waziri aliwaeleza wananchi kuwa kazi ya kupeleka umeme katika maeneo mbalimbali nchini ni hatua kwa hatua na kwamba serikali inafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha kila mwananchi anafikiwa na huduma hiyo.
  • “Tunafahamu kiu kubwa mliyonayo kuhusu umeme lakini hilo haliwezi kufanyika kwa wakati mmoja. Ni awamu kwa awamu, hivyo tulieni maana serikali iko kazini. Kila mmoja atafikiwa na umeme pale alipo.”
SB 3-01
Mbunge wa Kilosa, Mbaraka Bawazir akizungumza na wananchi wa kijiji cha Lumuma, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wakati Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani) alipofika kijijini hapo kutoa majibu ya kero zao kuhusu umeme, Agosti 27, 2019.
  • Awali, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake, Kaimu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Lawrence Maro, alimweleza Naibu Waziri kwamba, kufuatia agizo la serikali kuwa wateja wote walioko vijijini walipie shilingi 27,000 tu kama gharama ya kuunganishiwa umeme, tayari shirika hilo limeunga wateja 3,195 kwa kipindi cha mwezi Mei hadi Juni.
  • Aliongeza kuwa, sambamba na hilo, shirika limewatambua wazalishaji wadogo wa umeme wanne ambao ni Biro/Ongawa Power Engineering anayezalisha kilowati 32, Mbingu Sisters Hydro (kilowati 850), KPL Hydro (kilowati 320 na Faruku Hydro.
SB 4-01
Wananchi wa kijiji cha Kidete, wilayani Kilosa, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (hayupo pichani), aliyefika kuzungumza nao na kutoa majibu kwa kero zao kuhusu umeme, Agosti 27, 2019.
  • “Pia, tuna mzalishaji mdogo wa kati anayejulikana kwa jina la IYOVI ambaye anazalisha umeme wa kiasi cha megawati moja (1) na inaingizwa moja kwa moja kwenye gridi ya Taifa.”
  • Naibu Waziri anaendelea na ziara yake mkoani Morogoro ambapo atawasha umeme katika maeneo mbalimbali, kuzungumza na wananchi na kutatua kero zao. Na Veronica Simba – Morogoro
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KALEMANI AFUNGUA KIWANDA CHA NGUZO ZA UMEME – KIGOMA

Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amefungua kiwanda cha Nguzo cha Qwihaya, kilichopo katika Mtaa …

7 Maoni

  1. эффективно,
    Современное оборудование и материалы, для вашего уверенного улыбки,
    Специализированная помощь по доступным ценам, для вашей улыбки,
    Комфортные условия и дружественный персонал, для вашего здоровья и благополучия,
    Инновационные методы стоматологии, для вашего долгосрочного удовлетворения,
    Индивидуальный план лечения и профилактики, для вашего здоровья и уверенности в себе,
    Индивидуальный план лечения для каждого пациента, для вашей уверенной улыбки
    візит до стоматолога візит до стоматолога .

  2. peregonavtofgtd kiev ua

    Я мухой, сверхэффективно а также фундаментально перебросить Ваш ярис изо Украины в течение Европу, чи с Европы на Украину вместе с нашей командой. Оформление доказательств и экспортирование изготовляются на оговоренные сроки.
    http://peregonavtofgtd.kiev.ua

  3. Шаги к получению лицензии на недвижимость|Все, что вам нужно знать о лицензии на недвижимость|Станьте лицензированным агентом по недвижимости|Советы по получению лицензии на недвижимость|Эффективные способы получения лицензии на недвижимость|Следуйте этим шагам для получения лицензии на недвижимость|Секреты успешного получения лицензии на недвижимость|Изучите основы получения лицензии на недвижимость|Эффективные стратегии получения лицензии на недвижимость|Успешное получение лицензии на недвижимость: шаг за шагом|Основные моменты получения лицензии на недвижимость|Как получить лицензию на недвижимость и стать успешным агентом|Легкий путь к получению лицензии на недвижимость|Как стать агентом по недвижимости с лицензией: пошаговое руководство|Советы по получению лицензии на недвижимость от профессионалов|Эффективные стратегии для успешного получения лицензии на недвижимость|Шаги к успешной лицензии на недвижимость|Как быстро и легко получить лицензию на недвижимость|Ключевые моменты получения лицензии на недвижимость|Секреты успешного получения лицензии на недвижимость: что вам нужно знать|Простой путь к получению лицензии на недвижимость|Основные шаги к профессиональной лицензии на недвижимость|Инструкция по получению лицензии на недвижимость|Секреты быстрого получения лицензии на недвижимость|Как получить лицензию на недвижимость: основные принципы и стратегии|Лицензия на недвижимость: важные аспекты для успешного получения
    How to get my real estate license in Georgia https://realestatelicensehefrsgl.com/states/georgia-real-estate-license/ .

  4. Идеальные тактичные штаны для любого случая, для идеального комфорта и функциональности.
    Выберите стильные тактичные штаны для своего гардероба, для активного образа жизни.
    Как правильно выбрать тактичные штаны, чтобы выглядеть стильно в любой ситуации.
    Какие тактичные штаны подойдут именно вам, для стильного и практичного образа.
    Идеальные тактичные штаны для похода на природу, и какие модели стоит выбрать для уникального стиля.
    тактичні штани військові https://vijskovitaktichnishtanu.kiev.ua/ .

  5. 1 win букмекерская компания http://1win.tr-kazakhstan.kz/ как использовать бонусы 1win http://1win.tr-kazakhstan.kz/

  6. Rattling superb info can be found on weblog.Blog money

  7. Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *