DOKTA MPANGO AIOMBA AfDB KUJENGA BARABARA NJIA NNE MOROGORO HADI DODOMA

  • Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango ameiomba Benki ya Maendeleo ya Afrika kuipatia Tanzania mkopo nafuu kwa ajii ya kujenga barabara ya njia Nne kuanzia Morogoro hadi Dodoma ili kuboresha usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo
  • Dkt. Mpango ametoa ombi hili Jijini Dodoma alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki hiyo anayewakilisha nchi nane za ukanda wa Afrika Mashariki Bw. Amos Cheptoo.
f1-01
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akimuomba Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Cheptoo Amos Kipronoh (hayupo pichani) kuweka katika vipaumbele vya Benki hiyo kwa Tanzania kuhusu ujenzi wa Barabara ya Morogoro Dodoma yenye upana wa njia nne, kulia ni Kamishna Msaidizi wa Bajeti Bw. Emmanuel Tutuba.
  • “Barabara hii ilijengwa muda mrefu miaka ya 80, malori mengi yanapita hapa kwenda Mwanza, Kigoma na nje ya nchi ikiwemo Burundi, Rwanda, na unaona kabisa imeelemewa na imeanza kuharibika” Alisema Dkt. Mpango
  • Alisema amemwomba Mkurugenzi Mtendaji huyo wa AfDB waanze kuliweka jambo hili kwenye miradi itakayogharimiwa na Benki hiyo baadae ili barabara hiyo itakayo kuwa na uwezo wa kuelekeza magari mawili kwenda upande mmoja na mengine mawili kupita upande mwingine iweze kujengwa.
  • “Baada ya Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi, tunahitaji usafirishaji kwa njia ya barabara uwe na tija zaidi, uende haraka zaidi lakini pia kupunguza ajali. Hivi sasa kuna ajali nyingi sana kwa sababu magari yanayokwenda Dar es Salaam na yanayokuja Dodoma au kwenda Mwanza yanapishana kwenye haka kanjia kamoja” alisisitiza Dkt. Mpango
f3-01
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa nne kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Amos Cheptoo, (wa nne kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na maafisa waandamizi wa Wizara hiyo na Benki ya AfDB , Jijini Dodoma.
  • Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji huyo wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Maendeleo ya Afrika Bw. Amos Cheptoo aliyeko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, alisema Benki yake itahakikisha Tanzania inapata mikopo ya miradi yake ya kimkakati na ya kipaumbele ukiwemo huo wa barabara ya Morogoro hadi Dodoma.
  • Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Cheptoo Amos Kipronoh, ameitaka Sekta Binafsi nchini Tanzania kuchangamkia fursa za mikopo nafuu zilizopo katika Benki hiyo.
  • Bw. Kipronoh alisema kuwa Sekta Binafsi nchini Tanzania ina nafasi nzuri ya kupata mikopo na utaalam utakaoiwezesha kujikwamua kiuchumi kwa lengo la kutokomeza umasikini katika Bara la Afrika.
f4-01
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Amos Cheptoo, wakiwa katika Mkutano Jijini Dodoma.
  • “Sekta Binafsi hapa Tanzania haijatumia vizuri dirisha la mikopo ya Sekta hiyo ikilinganishwa nan chi nyingine za ukanda huu wa Afrika na ninakuomba Mhe. Waziri wa Fedha na Mipango uihamasishe Sekta Binafsi ikope fedha hizo ili kukuza mitaji yao na kuongeza tija” alisema Bw. Cheptoo
  • Aidha, alisema kuwa Benki ya AfDB ipo katika hatua za mwisho za kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato Dodoma na tayari benki hiyo imetoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara za mzunguko mjini Dodoma pamoja na miradi mipya ya kuzalisha Nishati ya umeme ambayo iko mbioni kuwasilishwa katika vikao vya Bodi ya Benki hiyo hivi karibuni.
  • Mkurugenzi huyo amempongeza Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli, kwa kuwa kiongozi mwenye maono ambaye amesaidia katika mabadiliko makubwa ya  uchumi na kuzitaka nchi nyingine barani Afrika kujifunza kutoka Tanzania.
f2-01
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Cheptoo Amos Kipronoh, akieleza nia ya Benki yake ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo ukiwemo ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato Jijini Dodoma, wakati wa Mkutano na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani), Jijini Dodoma. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha na Mipango)
  • “Nilipotua nimeona jengo la abiria la III katika Uwanja wa Ndege  wa Kimataifa wa Julius Nyerere, daraja la juu la Mfugale na ujenzi wa Reli ya Kisasa unaoendelea kwa kasi, miundombinu ambayo miaka miwili iliyopita sikuikuta nilipotembelea hapa nchini” alisema Bw. Cheptoo.
  • Aidha, amempongeza Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango kwa kusimamia na kuhakikisha uchumi unaendelea kuwa imara ikiwa ni moja ya lengo la Benki hiyo katika jitihada za kuifanya Afrika kuwa na uchumi imara.
  • Kwa upande Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, amewataka watanzania kujivunia hatua za maendeleo zinazoonekana kwa kuwa hata wageni wanaona mabadiliko makubwa ya kiuchumi nchini.
  • Ameishukuru Benki ya AfDB kwa kukubali kufadhili miradi ya barabara za mzunguko Jijini Dodoma na pia miradi mbalimbali ya kilimo ambayo inaajiri watu wengi, huku akibainisha kuwa kwa kipindi cha miaka minne miradi mbalimbali imetekelezwa kwa msaada wa AfDB na kuifanya Tanzania kukua kwa kasi kiuchumi.
  • Dkt. Mpango amewataka watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanawakutanisha viongozi wa Sekta Binafsi na Watendaji hao wa AfDB kabla ya kumaliza ziara yao nchini, ili kufanya mazungumzo yatakayosaidia kutumia fursa zilizopo katika Benki hiyo.
  • Aidha, Dkt. Mpango amewataka watanzania wenye vigezo kuchangamkia nafasi mbalimbali za kazi zinazotangazwa katika Benki hiyo ili kuongeza uwakilishi wa wananchi hasa kutoka Afrika Mashariki, ikizingatiwa nafasi zinazotangazwa ni za ushindani.
  • Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB imefadhili miradi 23 hapa nchini ikiwemo miradi 21 ya umma na miwili ya Sekta Binafsi, katika Nyanja za Nishati, miundombinu ya barabara, usafiri, kilimo, maji na usafi wa mazingira, yote kwa pamoja ikiwa na thamani ya dola za Marekani bilioni 2 nuta 1.Na Benny Mwaipaja, Dodoma
Ad

Unaweza kuangalia pia

NCHI ZA SADC ZATAKIWA KUTATHMINI UCHUMI WAKE BILA KUTEGEMEA MASHIRIKA YA KIMATAIFA PEKEE

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema kuwa nchi za Afrika hasa zilizopo …

144 Maoni

  1. дешевое такси телефон такси цена

  2. купить диплом в братске https://6landik-diploms.com

  3. Ищете способ расслабиться и получить незабываемые впечатления? Мы https://t.me/intim_tmn72 предлагаем эксклюзивные встречи с привлекательными и профессиональными компаньонками. Конфиденциальность, комфорт и безопасность гарантированы. Позвольте себе наслаждение и отдых в приятной компании.

  4. Добро пожаловать на наш интернет-ресурс, где вы можете прочитать множество интересных статей на такие темы, как приемка квартиры в новостройке, и на многие другие.
    Узнайте всё о том, как купить новостройку с черновой отделкой. Мы поможем вам стать подкованным покупателем, и избежать возможных проблем в будущем!

  5. Читайте интересные статьи на актуальные темы, связанные с продажей жилья, например приемка квартиры в новостройке или ликвидационная стоимость недвижимости.
    Сайт: https://ooo-trotuar.ru

  6. На нашем ресурсе вы найдете полезные статьи, которые помогут вам разобраться во всех тонкостях продажи недвижимости.
    Вас ждут статьи на такие темы, как закладная на квартиру, а также цены на недвижимость, и многие другие!

  7. Скачать свежие новинки песен https://muzfo.net 2024 года ежедневно. Наслаждайтесь комфортным прослушиванием, скачивайте музыку за пару кликов на сайте.

  8. http://www.peregonavtofgtd.kiev.ua

    Быстро, эффективно равно надежно провезти Чемодан автомобиль изо Украины на Европу, чи с Европы в Украину вместе начиная с. ant. до нашей командой. Формирование доказательств да экспортирование изготовляются в течение оговоренные сроки.
    peregonavtofgtd kiev ua

  9. https://peregonavtofgtd.kiev.ua

    Быстро, эффективно и фундаментально провезти Ваш автомобиль с Украины в течение Европу, или из Европы в течение Украину хором один-два нашей командой. Оформление грамот равно вывоз производятся в течение оговоренные сроки.
    peregonavtofgtd kiev ua

  10. Карьерный коуч https://vminske.by/fashion/kto-takie-karernye-konsultanty — эксперт рынка труда, который помогает людям определить свои карьерные цели, развиваться в выбранной области и достигать успеха в профессиональной деятельности.

  11. I loved your idea there, I tell you blogs are so exciting sometimes like looking into people’s private life’s and work. Every new remark wonderful in its own right.

  12. Vinicius Junior https://viniciusjunior.prostoprosport-ar.com is a Brazilian and Spanish footballer who plays as a striker for Real Madrid and the Brazilian national team. Junior became the first player in the history of Los Blancos, born in 2000, to play an official match and score a goal.

  13. Karim Benzema https://karimbenzema.prostoprosport-ar.com is a French footballer who plays as a striker for the Saudi Arabian club Al-Ittihad. He played for the French national team, for which he played 97 matches and scored 37 goals. At the age of 17, he became one of the best reserve players, scoring three dozen goals per season.

  14. very good post, i certainly love this web site, keep on it

  15. Toni Kroos https://tonikroos.prostoprosport-ar.com is a German footballer who plays as a central midfielder for Real Madrid and the German national team. World champion 2014. The first German player in history to win the UEFA Champions League six times.

  16. Mohamed Salah https://mohamedsalah.prostoprosport-ar.com is an Egyptian footballer who plays as a forward for the English club Liverpool and the Egyptian national team. Considered one of the best football players in the world. Three-time winner of the English Premier League Golden Boot: in 2018 (alone), 2019 (along with Sadio Mane and Pierre-Emerick Aubameyang) and 2022 (along with Son Heung-min).

  17. We are a group of volunteers and starting a new initiative in our community. Your blog provided us with valuable information to work on|.You have done a marvellous job!

  18. Pedro Gonzalez Lopez https://pedri.prostoprosport-ar.com better known as Pedri, is a Spanish footballer who plays as an attacking midfielder for Barcelona and the Spanish national team. Bronze medalist of the 2020 European Championship, as well as the best young player of this tournament. Silver medalist at the 2020 Olympic Games in Tokyo. At the age of 18, he was included in the list of 30 football players nominated for the 2021 Ballon d’Or.

  19. Cristiano Ronaldo https://cristiano-ronaldo.prostoprosport-ar.com is a Portuguese footballer, forward, captain of the Saudi Arabian club An-Nasr and the Portuguese national team. European Champion. Considered one of the best football players of all time. The best scorer in the history of football according to the IFFIS and fourth according to the RSSSF

  20. Yassine Bounou https://yassine-bounou.prostoprosport-ar.com also known as Bono, is a Moroccan footballer who plays as a goalkeeper for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Moroccan national team. On November 10, 2022, he was included in the official application of the Moroccan national team to participate in the matches of the 2022 World Cup in Qatar

  21. Harry Edward Kane https://harry-kane.prostoprosport-ar.com is an English footballer, forward for the German club Bayern and captain of the England national team. Considered one of the best football players in the world. He is Tottenham Hotspur’s and England’s all-time leading goalscorer, as well as the second most goalscorer in the Premier League. Member of the Order of the British Empire.

  22. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-ar.com is a Norwegian footballer who plays as a forward for the English club Manchester City and the Norwegian national team. English Premier League record holder for goals per season.

  23. Ali al-Buleahi https://ali-al-bulaihi.prostoprosport-ar.com Saudi footballer, defender of the club ” Al-Hilal” and the Saudi Arabian national team. On May 15, 2018, Ali al-Buleakhi made his debut for the Saudi Arabian national team in a friendly game against the Greek team, coming on as a substitute midway through the second half.

  24. Luka Modric https://lukamodric.prostoprosport-ar.com is a Croatian footballer, central midfielder and captain of the Spanish club Real Madrid, captain of the Croatian national team. Recognized as one of the best midfielders of our time. Knight of the Order of Prince Branimir. Record holder of the Croatian national team for the number of matches played.

  25. лучшие средства для интимной гигиены Средства для интимной гигиены IntiLINE

  26. Взять займ или кредит
    https://chita-brita.ru/interesno-i-polezno/finansy/poshagovoe-rukovodstvo-po-podache-onlajn-zayavok-na-kredit-v-razlichnye-banki.html под проценты, подав заявку на денежный микрозайм для физических лиц. Выбирайте среди 570 лучших предложений займа онлайн. Возьмите микрозайм онлайн или наличными в день обращения. Быстрый поиск и удобное сравнение условий по займам и микрокредитам в МФО.

  27. Ruben Diogo da Silva Neves https://ruben-neves.prostoprosport-ar.com is a Portuguese footballer who plays as a midfielder for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Portuguese national team. Currently, Ruben Neves plays for the Al-Hilal club wearing number 8. His contract with the Saudi club is valid until the end of June 2026.

  28. Kobe Bean Bryant https://kobebryant.prostoprosport-ar.com is an American basketball player who played in the National Basketball Association for twenty seasons for one team, the Los Angeles Lakers. He played as an attacking defender. He was selected in the first round, 13th overall, by the Charlotte Hornets in the 1996 NBA Draft. He won Olympic gold twice as a member of the US national team.

  29. Купити ліхтарики https://bailong-police.com.ua оптом та в роздріб, каталог та прайс-лист, характеристики, відгуки, акції та знижки. Купити ліхтарик онлайн з доставкою. Відмінний вибір ліхтарів: налобні, ручні, тактичні, ультрафіолетові, кемпінгові, карманні за вигідними цінами.

  30. Продажа подземных канализационных ёмкостей https://neseptik.com по выгодным ценам. Ёмкости для канализации подземные объёмом до 200 м3. Металлические накопительные емкости для канализации заказать и купить в Екатеринбурге.

  31. Maria Sharapova https://maria-sharapova.prostoprosport-ar.com Russian tennis player. The former first racket of the world, winner of five Grand Slam singles tournaments from 2004 to 2014, one of ten women in history who has the so-called “career slam”.

  32. Luis Fernando Diaz Marulanda https://luis-diaz.prostoprosport-ar.com Colombian footballer, winger for Liverpool and the Colombian national team . Diaz is a graduate of the Barranquilla club. On April 26, 2016, in a match against Deportivo Pereira, he made his Primera B debut. On January 30, 2022, he signed a contract with the English Liverpool for five years, the transfer amount was 40 million euros.

  33. I favored your idea there, I tell you blogs are so helpful sometimes like looking into people’s private life’s and work.At times this world has too much information to grasp. Every new comment wonderful in its own right.

  34. Mohammed Khalil Ibrahim Al-Owais https://mohammed-alowais.prostoprosport-ar.com is a Saudi professional footballer who plays as a goalkeeper for the national team Saudi Arabia and Al-Hilal. He is known for his quick reflexes and alertness at the gate.

  35. Quincy Anton Promes https://quincy-promes.prostoprosport-br.com Dutch footballer, attacking midfielder and forward for Spartak Moscow . He played for the Dutch national team. He won his first major award in 2017, when Spartak became the champion of Russia.

  36. Roberto Firmino Barbosa de Oliveira https://roberto-firmino.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, attacking midfielder, forward for the Saudi club “Al-Ahli”. Firmino is a graduate of the Brazilian club KRB, from where he moved to Figueirense in 2007. In June 2015 he moved to Liverpool for 41 million euros.

  37. Damian Emiliano Martinez https://emiliano-martinez.prostoprosport-br.com Argentine footballer, goalkeeper of the Aston Villa club and national team Argentina. Champion and best goalkeeper of the 2022 World Cup.

  38. Kyle Andrew Walker https://kylewalker.prostoprosport-br.com English footballer, captain of the Manchester City club and the England national team. In the 2013/14 season, he was on loan at the Notts County club, playing in League One (3rd division of England). Played 37 games and scored 5 goals in the championship.

  39. Laure Boulleau https://laure-boulleau.prostoprosport-fr.com French football player, defender. She started playing football in the Riom team, in 2000 she moved to Isere, and in 2002 to Issigneux. All these teams represented the Auvergne region. In 2003, Bullo joined the Clairefontaine academy and played for the academy team for the first time.

  40. Antoine Griezmann https://antoine-griezmann.prostoprosport-fr.com French footballer, striker and midfielder for Atletico Madrid. Player and vice-captain of the French national team, as part of the national team – world champion 2018. Silver medalist at the 2016 European Championship and 2022 World Championship.

  41. In January 2010, Harry Kane https://harry-kane.prostoprosport-fr.com received an invitation to the England U-team for the first time 17 for the youth tournament in Portugal. At the same time, the striker, due to severe illness, did not go to the triumphant 2010 European Championship for boys under 17 for the British.

  42. Achraf Hakimi Mou https://achraf-hakimi.prostoprosport-fr.com Moroccan footballer, defender of the French club Paris Saint-Germain “and the Moroccan national team. He played for Real Madrid, Borussia Dortmund and Inter Milan.

  43. Bernardo Silva https://bernardo-silva.prostoprosport-fr.com Portuguese footballer, midfielder. Born on August 10, 1994 in Lisbon. Silva is considered one of the best attacking midfielders in the world. The football player is famous for his endurance and performance. The athlete’s diminutive size is more than compensated for by his creativity, dexterity and foresight.

  44. Philip Walter Foden https://phil-foden.prostoprosport-fr.com better known as Phil Foden English footballer, midfielder of the Premier club -League Manchester City and the England national team. On December 19, 2023, he made his debut at the Club World Championship in a match against the Japanese club Urawa Red Diamonds, starting in the starting lineup and being replaced by Julian Alvarez in the 65th minute.

  45. Mohamed Salah Hamed Mehrez Ghali https://mohamed-salah.prostoprosport-fr.com Footballeur egyptien, attaquant du club anglais de Liverpool et l’equipe nationale egyptienne. Considere comme l’un des meilleurs footballeurs du monde

  46. Declan Rice https://declan-rice.prostoprosport-fr.com Footballeur anglais, milieu defensif du club d’Arsenal et de l’equipe nationale equipe d’Angleterre. Originaire de Kingston upon Thames, Declan Rice s’est entraine a l’academie de football de Chelsea des l’age de sept ans. En 2014, il devient joueur de l’academie de football de West Ham United.

  47. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thhibaut-courtois.prostoprosport-fr.com Footballeur belge, gardien de but du club espagnol du Real Madrid . Lors de la saison 2010/11, il a ete reconnu comme le meilleur gardien de la Pro League belge, ainsi que comme joueur de l’annee pour Genk. Triple vainqueur du Trophee Ricardo Zamora

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *