WAZIRI KIGWANGALLA AZINDUA KAMATI YA KITAIFA YA USHAURI WA UFUGAJI NYUKI NCHINI NA KUGAWA MIZINGA YA KISASA 1000 MKOANI TABORA

1-01
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akigawa jumla mizinga ya kisasa 1000 kwa Chuo cha Mafuzo ya Ufugaji Nyuki Tabora na Jumuiya ya Wafugaji wa Nyuki wa Ipole WMA mkoani Tabora.
2-01
Waziri wa Maliasili na utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akisikiliza maelezo kuhusu ufugaji wa nyuki wadogo na mazao yake kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Ufugaji wa Nyuki Bw. Daniel Charles Pancras alipotembelea na kukagua kituo cha Utafiti na Mafunzo cha kuzalisha nyuki wadogo katika Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki mkoani Tabora.
3-01
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiagalia zoezi la uwekaji wa nta maalum inayotumika kuwavutia nyuki kuingia kwenye mizinga alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki mkoani Tabora kugawa mizinga ya Nyuki na kuzindua Kamati ya Kitaifa ya Ushauri wa Ufugaji Nyuki nchini.
5-01
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akigawa jumla mizinga ya kisasa 1000 kwa Chuo cha Mafuzo ya Ufugaji Nyuki Tabora na Jumuiya ya Wafugaji wa Nyuki wa Ipole WMA mkoani Tabora.
6-01
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiweka nta maalum inayotumika kuwavutia nyuki kuingia kwenye kwenye mizinga ya kisasa ya maoksi pale inapotudikwa wakati akigawa jumla mizinga ya kisasa 1000 kwa Chuo cha Mafuzo ya Ufugaji Nyuki Tabora na Jumuiya ya Wafugaji wa Nyuki wa Ipole WMA mkoani Tabora.
7-01
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watedaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Wajume wa Kamati ya Kitaifa ya Ushauri wa Ufugaji Nyuki nchini iliyoziduliwa .
8-01
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia mizinga ya kisasa ya maboksi 1000 ambayo ameigawa kwa Chuo cha Mafuzo ya Ufugaji Nyuki Tabora na Jumuiya ya Wafugaji wa Nyuki wa Ipole WMA mkoani Tabora.
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI ZUNGU AHUDHURIA MKUTANO WA 7 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MALIASILI WA JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI

             

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.