KITUO CHA GESI ASILIA CHA SONGAS CHATAKIWA KUWASILISHA MPANGO KAZI

  • Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Sima ameagiza kituo cha kupokea gesi asilia cha Songas eneo la Somanga kuwasilisha mpango kazi wa usimamizi wa mazingira unaoonesha madhara na hatua zinazochukuliwa pindi yanapotokea maafa.
  • Sima alitoa agizo hilo jana wakati wa ziara yake akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Prof. Esnat Chagu na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Samuel Gwamaka kukagua kituo hicho ambacho hivi karibuni kilipata tatizo la kuvujisha bomba la gesi katika eneo hilo wilayani Kilwa mkoani Lindi.
4-01
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima (kulia) akitoa maelekezo baada ya kukagua kituo cha kupokea gesi asilia cha Songas.
  • Katika ziara hiyo inayohusisha mikoa ya Lindi na Mtwara alisema kuwa ni muhimu wananchi wa vijiji zaidi ya 60 vilivyopitiwa na mradi wa bomba la gesi asilia licha ya kujua faida zake lakini pia wanatakiwa wapate elimu sahihi ya madhara pindi yanapotokea matatizo kama haya.
  • Aidha, Naibu Waziri huyo aliongeza kuwa nchi yetu imebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi na hasa ya gesi asilia na kutaka mikataba ambayo inaingia na wakandarasi lazima ioneshe wananchi wameshirikishwaje na kuelewa kuhusu madhara yatakajitokeza endapo gesi itavuja.
3-01
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Christopher Ngubiagai akizungumzia kuhusu tukio la kuvuja kwa gesi lilivyotokea mbele ya viongozi mbalimbali wakati wa ziara hiyo.
  • Alisema kuwa lazima kama nchi tujuie mikataba hii ili kama yakitokea maafa wao wanawajibikaje kutokana na madhara yanayoweza kujitokeza hususan kwa wananchi wanaopitiwa na miradi hiyo.
  • “Tumekuja hapa tuone kama miradi hii inafuata Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 na hapa tunataka tuone kwenye eneo hili yakitokea madhara ni hatua gani zinachukuliwa, tunataka kuona taarifa kamili na tuangalie kwenye eneo letu la mazingira mnachukua hatua gani.
2-01
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima (kulia) akiagana na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Christopher Ngubiagai mara baada ya kukagua kituo cha Songas.
  • “Hebu turudi kuangalia mkataba huu makubaliano gani tunawekeana sio valvu mpya imetoka maabara imekuja ikawekwa hapa halafu ikajivusha gesi, hapana lazima tuje na majibu sahihi. Natambua wizara husika imefanya kazi yao na sisi tunaoratibu shughuli za mzingira lazima tufanye kazi yetu,” alisema Sima.
  • Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya NEMC) Prof. Chagu alisema ni muhimu kwa watalamu kuhakikisha vifaa vinavyototumika vinakuwa na viwango.
  • Prof. Chagu alisema kuwa matumizi ya vifaa vyenye viwango yatasaidia katika kuhakikisha matatizo kama haya hayatokei na kuleta madhara kwa wananchi na hata kama yakitokea basi lazima tujue hatua za kuchukua.
1-01
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima (kulia) akiwasili katika kituo cha kupokea gesi asilia cha Songas eneo la Somanga Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi kwa ajili ya kukagua na kupokea taarifaya madhara yaliyotokana na kuvuka kwa nishati hiyo. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Christopher Ngubiagai.
  • Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Christopher Ngubiagai alisema hili ni tukio baya kutokea na kama wasingekuwa makini kuzuia cheche ingekuwa hali ya hatari na kusababisha maafa makubwa.
  • Ngubiaga alibainisha kuwa katika siku ya tukio hilo wananchi wanaotumia Barabara ya Kilwa hususan wasafiri wa mabasi ya kwenda au kutoka Mtwara na Songea waliathirika kutokana na kutoendelea na safari.
  • Pia alisema kuwa athari za kiuchumi zilionekana kutokana kuzimwa kwa kituo cha umeme Kilwa kutoka muda wa jioni hadi usiku hivyo wananchi walikosa huduma hiyo na kushindwa kufanya shughuli za kiuchumi. Na Robert Hokororo, Kilwa
Ad

Unaweza kuangalia pia

TANZANIA YATAKA AMANI KUPUNGUZA MZIGO WA WAKIMBIZI AFRIKA

Tanzania imetaka Umoja wa Afrika na Jumuiya za Kimataifa kuongeza jitihada na nguvu katika kuleta …

491 Maoni

  1. Football in Saudi Arabia https://al-hilal.saud-abdulhamid-ar.com is gaining more and more popularity and recognition on the international stage, and Saud Abdul Hamid, the young and talented defender of Al Hilal, is a shining example of this success.

  2. Казахский национальный технический университет https://satbayev.university им. К.Сатпаева

  3. Upcoming fantasy MOBA https://bladesofthevoid.com evolved by Web3. Gacha perks, AI and crafting in one swirling solution!

  4. Продажа новых автомобилей Hongqi
    https://hongqi-krasnoyarsk.ru/hongqi-h5 в Красноярске у официального дилера Хончи. Весь модельный ряд, все комплектации, выгодные цены, кредит, лизинг, трейд-ин

  5. Kylie Jenner https://kylie-cosmetics.kylie-jenner-ar.com is an American model, media personality, and businesswoman, born on August 10, 1997 in Los Angeles, California.

  6. Продажа новых автомобилей Hongqi
    https://hongqi-krasnoyarsk.ru/owners/service-form в Красноярске у официального дилера Хончи. Весь модельный ряд, все комплектации, выгодные цены, кредит, лизинг, трейд-ин

  7. Bella Hadid https://img-models.bella-hadid-ar.com is an American model who has emerged in recent years as one of the most influential figures in the world of fashion.

  8. Sadio Mane https://al-nassr.sadio-mane-ar.com the Senegalese footballer best known for his performances at clubs such as Southampton and Liverpool, has become a prominent figure in Al Nassr.

  9. Brazilian footballer Ricardo Escarson https://orlando-city.kaka-ar.com dos Santos Leite, better known as Kaka, is one of the most famous and successful players in football history.

  10. Edson Arantes https://santos.pele-ar.com do Nascimento, known as Pele, was born on October 23, 1940 in Tres Coracoes, Minas Gerais, Brazil.

  11. Brazilian footballer Malcom https://al-hilal.malcom-ar.com (full name Malcom Felipe Silva de Oliveira) achieved great success in Al Hilal, one of the leading football teams in Saudi Arabia and the entire Middle East.

  12. Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.

  13. Zinedine Zidane https://real-madrid.zinedine-zidane-ar.com the legendary French footballer, entered the annals of football history as a player and coach.

  14. Jackie Chan https://karate-kid.jackiechan-ar.com was born in 1954 in Hong Kong under the name Chan Kong San.

  15. Travis Scott https://astroworld.travis-scott-ar.com is one of the brightest stars in the modern hip-hop industry.

  16. The history of one of France’s https://france.paris-saint-germain-ar.com most famous football clubs, Paris Saint-Germain, began in 1970, when capitalist businessmen Henri Delaunay and Jean-Auguste Delbave founded the club in the Paris Saint-Germain-en-Laye area.

  17. Juventus Football Club https://italy.juventus-ar.com is one of the most successful and decorated clubs in the history of Italian and world football.

  18. Chelsea https://england.chelsea-ar.com is one of the most successful English football clubs of our time.

  19. Всем привет! Подскажите, где почитать разные статьи о недвижимости? Сейчас читаю https://glatt-nsk.ru

  20. Автомобили Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru в наличии – официальный дилер Hongqi Красноярск

  21. Liverpool https://england.liverpool-ar.com holds a special place in the history of football in England.

  22. When Taylor Swift https://shake-it-off.taylor-swift-ar.com released “Shake It Off” in 2014, she had no idea how much the song would impact her life and music career.

  23. Priyanka Chopra https://baywatch.priyankachopra-ar.com is an Indian actress, singer, film producer and model who has achieved global success.

  24. Jennifer Lopez https://lets-get-loud.jenniferlopez-ar.com was born in 1969 in the Bronx, New York, to parents who were Puerto Rican immigrants.

  25. Howdy I wanted to write a new remark on this page for you to be able to tell you just how much i actually Enjoyed reading this read. I have to run off to work but want to leave ya a simple comment. I saved you So will be returning following work in order to go through more of yer quality posts. Keep up the good work.

  26. After some difficult years in the late 2010s, Manchester United https://england.manchester-united-ar.com returned to greatness in English football by 2024.

  27. The Formula One World Championship https://world-circuit-racing-championship.formula-1-ar.com, known as the Formula Championship in motor racing, is the highest tier of professional motor racing.

  28. Michael Jordan https://chicago-bulls.michael-jordan-ar.com is one of the greatest basketball players of all time, whose career with the Chicago Bulls is legendary.

  29. современный дизайн интерьера гостиной https://dizayn-interera-doma.ru

  30. приложение для дизайна интерьера дизайн интерьера гостиной

  31. Muhammad Ali https://american-boxer.muhammad-ali-ar.com is perhaps one of the most famous and greatest athletes in the history of boxing.

  32. Mike Tyson https://american-boxer.mike-tyson-ar.com one of the most famous and influential boxers in history, was born on June 30, 1966 in Brooklyn, New York.

  33. Manny Pacquiao https://filipino-boxer.manny-pacquiao-ar.com is one of the most prominent boxers in the history of the sport.

  34. The golf https://arabic.golfclub-ar.com industry in the Arab world is growing rapidly, attracting players from all over the world.

  35. The road to the Premier League https://english-championship.premier-league-ar.com begins long before a team gets promoted to the English Premier League for the first time

  36. The Italian football championship https://italian-championship.serie-a-ar.com known as Serie A, has seen an impressive revival in recent years.

  37. In the German football https://german-championship.bundesliga-football-ar.com championship known as the Bundesliga, rivalries between clubs have always been intense.

  38. In recent years, the leading positions in the Spanish https://spanish-championship.laliga-ar.com championship have been firmly occupied by two major giants – Barcelona and Real Madrid.

  39. Приветствую. Подскажите, где найти разные статьи о недвижимости? Сейчас читаю https://gor-bur.ru

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *