LIVE: ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI JIJINI DODOMA

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 22 Novemba, 2019 ataweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru katika eneo la Maduka Chamwino, ataweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa nyumba 118 za askari polisi katika eneo la Nzuguni, ataweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Dodoma katika eneo la Nzuguni, ataweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Soko Kuu la Dodoma katika eneo la Nzuguni na kisha atazungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara.
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: UZINDUZI WA MAJENGO YA OFISI YA MANISPAA NA MKUU WA WILAYA KIGAMBONI JIJINI DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *