TRA YAENDELEA NA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI JIJINI DAR

5-01
Afisa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zakeo Kowero akitoa elimu ya kodi kwa mmoja wa wafanyabiashara wa eneo la Kivule Wilaya ya Ilala wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019. (PICHA ZOTE NA TRA)
4-01
Afisa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Catherine Mwakilagala akitoa elimu ya kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara wa eneo la Tandika Wilaya ya Temeke wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
3-01
Afisa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Isihaka Shariff akitoa elimu ya kodi kwa mmoja wa wafanyabiashara wa Kariakoo Wilaya ya Ilala wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
2-01
Mfanyabiashara wa duka la rejareja wa eneo la Mabwepande Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Cathbert Kagirwa akitoa maoni yake kwa Afisa Kodi Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Rose Mahendeka wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
Ad

Unaweza kuangalia pia

TRA – WAFANYABIASHARA MSIJIHUSISHE NA BIASHARA ZA MAGENDO

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wafanyabiashara na wachuuzi wanaoishi jirani na fukwe za Bahari …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *