MELI MPYA YA MV MBEYA IMETIA NANGA MATEMA BEACH

L5-01
Meli mpya kabisa ya MV MBEYA imetia nanga Matema Beach, Ziwa Nyasa kwa mara ya kwanza leo ikiwa katika majaribio.Meli hii imetengenezwa na kampuni ya kizalendo ya Songoro Marine Transport Ltd ya Mwanza, Ujenzi wa Meli hii ni sehemu ya ahadi mbalimbali za Rais Dkt John Magufuli
L6-01
Wananchi wakiwa wamefika kushuhudia Meli mpya kabisa ya MV MBEYA imetia nanga Matema Beach, Ziwa Nyasa kwa mara ya kwanza leo ikiwa katika majaribio.Meli hii imetengenezwa na kampuni ya kizalendo ya Songoro Marine Transport Ltd ya Mwanza, Ujenzi wa Meli hii ni sehemu ya ahadi mbalimbali za Rais Dkt John Magufuli
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI INATARAJIA KUJENGA MINARA 5 YA MAWASILIANO WILAYANI MAFIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mh. Injinia Atashasta Nditiye (Mb.) amezindua mnara wa Mawasiliano …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *