WIZARA YA ARDHI YAPOKEA VIFAA VYA ZOEZI LA URASIMISHAJI MAKAZI

Wizara wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepokea  vifaa kwa ajili ya uanzishaji wa masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima.

Vifaa vilivyotolewa wa kompyuta tano (5) na mashine mbili (2) za uchapishaji wa nyaraka mbalimbali za urasimishaji wa makazi.

Ad

Akizungumza wakati wa tafrija fupi ya kukabidhi wa vifaa hivyo iliyofanyika katika ofisi za Ardhi jijini Dar es salaam, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi alisema kuwa uanzishwaji wa masjala hizo ni sehemu ya utakelezaji wa maelekezo ya Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli aliyeagiza Wizara ya Ardhi kuondoa kero zote za ardhi zinazowakabili wananchi.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akihimiza jambo wakati wa tafrija fupi ya kukabidhi kwa vifaa kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za Wizara ya Ardhi za kuanzisha masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima.

“Niwashukuru Benki ya Maendeleo ya TIB ya kuunga jitihada hizi za kuweza katika kuanzisha masjala hizi ambazo ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Mheshimiwa Rais, hivyo zitasaidia kupunguza kero za Watanzania wanaposhughulikia masuala ya umiliki wa ardhi.” alisema.

Waziri Lukuvi alisema kuwa lengo la urasimishaji ni kuhakikisha usalama wa milki na kuwezesha upatikanaji wa maeneo kwa ajili huduma za kijamii na miundombinu kwa njia shirikishi.

Aliongeza kuwa zoezi hili litasaidia mzunguko wa fedha na kuimarisha uchumi kwa kuwa utasaidia wananchi kutumia nyumba zao kama dhamana ili kuweza kukopa katika taasisi za kifedha pia, litasaidia kuzipa fursa taasisi hizo kuweza kuhakiki umiliki wa waombaji wa mikopo.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (kulia) akipokea kompyuta zilizotolewa na Benki ya Maendeleo TIB kuunga mkono uanzishaji wa masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima. Anayekabidhi kompyuta hizo ni Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Mahusiano wa Kitaasisi za Benki ya Maendeleo ya TIB, Bw. Patrick Mongella (kushoto)

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Mahusiano wa Kitaasisi za Benki ya Maendeleo ya TIB, Bw. Patrick Mongella alisema kwa kiasi kikubwa taasisi za kifedha zinaitegemea Wizara ya Ardhi kwa ajili ya utoaji wa mikopo kwa watu na taasisi mbalimbali ambao wanatumia ardhi kama sehemu ya dhamana ya mikopo yao.

“Zoezi hili ni muhimu kwa taasisi za fedha ikiwemo TIB kwa kuwa kwa kiasi kikubwa shughuli za ukopeshaji zinatumia ardhi kama sehemu ya dhamana ya mikopo,” alisema.

Bw. Mongella aliongeza kuwa TIB kama benki ya Serikali iliona ni fursa nzuri ya kuunga mkono jitihada za wizara hili kuisaidia katika uwekaji wa kumbukumbu katika zoezi la urasimishaji wa ardhi.

Zoezi la urasimishaji wa makazi linahusisha kutambua, kupanga, kupima na kumilikisha maeneo yaliyoendelezwa bila kupangwa. Akiwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi kwa Mwaka wa fedha 2020/2021 hivi karibuni, Waziri Lukuvi alisema katika kipindi cha miaka mitano Wizara ya Ardhi imeweza kuidhinisha michoro ya Mipangomiji ya urasimishaji yenye viwanja 703,836.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

22 Maoni

  1. Скачать свежие новинки песен https://muzfo.net 2024 года ежедневно. Наслаждайтесь комфортным прослушиванием, скачивайте музыку за пару кликов на сайте.

  2. Robert Lewandowski https://robertlewandowski.prostoprosport-ar.com is a Polish footballer, forward for the Spanish club Barcelona and captain of the Polish national team. Considered one of the best strikers in the world. Knight of the Commander’s Cross of the Order of the Renaissance of Poland.

  3. Lionel Andres Messi Cuccittini https://lionelmessi.prostoprosport-ar.com is an Argentine footballer, forward and captain of the MLS club Inter Miami, captain of the Argentina national team. World champion, South American champion, Finalissima winner, Olympic champion. Considered one of the best football players of all time.

  4. The best film magazin https://orbismagazine.com, film industry trade publications in 2024 to keep you informed with the latest video production, filmmaking, photographynews. We create beautiful and magnetic projects.

  5. NGolo Kante https://ngolokante.prostoprosport-ar.com is a French footballer who plays as a defensive midfielder for the Saudi Arabian club Al-Ittihad and the French national team. His debut for the first team took place on May 18, 2012 in a match against Monaco (1:2). In the 2012/13 season, Kante became the main player for Boulogne, which played in Ligue 3.

  6. Kevin De Bruyne https://kevin-de-bruyne.prostoprosport-ar.com Belgian footballer, midfielder of the Manchester club City” and the Belgian national team. A graduate of the football clubs “Ghent” and “Genk”. In 2008 he began his adult career, making his debut with Genk.

  7. Quincy Anton Promes https://quincy-promes.prostoprosport-br.com Dutch footballer, attacking midfielder and forward for Spartak Moscow . He played for the Dutch national team. He won his first major award in 2017, when Spartak became the champion of Russia.

  8. Khvicha Kvaratskhelia https://khvicha-kvaratskhelia.prostoprosport-br.com Georgian footballer, winger for Napoli and captain of the Georgian national team. A graduate of Dynamo Tbilisi. He made his debut for the adult team on September 29, 2017 in the Georgian championship match against Kolkheti-1913. In total, in the 2017 season he played 4 matches and scored 1 goal in the championship.

  9. Jack Peter Grealish https://jackgrealish.prostoprosport-br.com English footballer, midfielder of the Manchester City club and the England national team. A graduate of the English club Aston Villa from Birmingham. In the 2012/13 season he won the NextGen Series international tournament, playing for the Aston Villa under-19 team

  10. Son Heung Min https://sonheung-min.prostoprosport-br.com South Korean footballer, striker and captain of the English Premier League club Tottenham Hotspur and the Republic of Korea national team. In 2022 he won the Premier League Golden Boot. Became the first Asian footballer in history to score 100 goals in the Premier League

  11. Kylian Mbappe Lotten https://kylian-mbappe.prostoprosport-fr.com Footballeur francais, attaquant du Paris Saint-Germain et capitaine de l’equipe de France. Le 1er juillet 2024, il deviendra joueur du club espagnol du Real Madrid.

  12. Ronaldo de Asis Moreira https://ronaldinhogaucho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, played as an attacking midfielder and striker. World Champion (2002). Winner of the Golden Ball (2005). The best football player in the world according to FIFA in 2004 and 2005.

  13. Carlos Henrique Casimiro https://carloscasemiro.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, volante do clube ingles Manchester United e capitao do Selecao Brasileira. Pentacampeao da Liga dos Campeoes da UEFA, campeao mundial e sul-americano pela selecao juvenil brasileira.

  14. Luis Alberto Suarez Diaz https://luis-suarez.prostoprosport-br.com Uruguayan footballer, striker for Inter Miami and Uruguay national team. The best scorer in the history of the Uruguay national team. Considered one of the world’s top strikers of the 2010s

  15. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thhibaut-courtois.prostoprosport-fr.com Footballeur belge, gardien de but du club espagnol du Real Madrid . Lors de la saison 2010/11, il a ete reconnu comme le meilleur gardien de la Pro League belge, ainsi que comme joueur de l’annee pour Genk. Triple vainqueur du Trophee Ricardo Zamora

  16. Roberto Carlos da Silva Rocha https://roberto-carlos.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, left back. He was also capable of playing as both a central defender and a defensive midfielder. World champion 2002, silver medalist at the 1998 World Championships.

  17. Luka Modric https://luka-modric.prostoprosport-cz.org je chorvatsky fotbalista, stredni zaloznik a kapitan spanelskeho tymu. klub Real Madrid, kapitan chorvatskeho narodniho tymu. Uznavan jako jeden z nejlepsich zalozniku nasi doby. Rytir Radu prince Branimira. Rekordman chorvatske reprezentace v poctu odehranych zapasu.

  18. Karim Benzema https://karim-benzema.prostoprosport-cz.org je francouzsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za Saudskou Arabii. Arabsky klub Al-Ittihad. Hral za francouzsky narodni tym, za ktery odehral 97 zapasu a vstrelil 37 branek. V 17 letech se stal jednim z nejlepsich hracu rezervy, nastrilel tri desitky golu za sezonu.

  19. Bruno Guimaraes Rodriguez Moura https://bruno-guimaraes.prostoprosport-cz.org Brazilsky fotbalista, defenzivni zaloznik Newcastlu United a Brazilsky narodni tym. Vitez olympijskych her 2020 v Tokiu.

  20. регистрация рио бет казино регистрация Rio Bet Casino

  21. Slot machines on the official website and mirrors of the Pin Up online casino https://pin-up.tr-kazakhstan.kz are available for free mode, and after registering at Pin Up Casino Ru you can play for money.

  22. The main sports news of Azerbaijan https://idman.com.az. Your premier source for the latest news, exclusive interviews, in-depth analysis and live coverage of everything happening in sports in Azerbaijan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *