DKT. KALEMANI: LIPIENI TUJUE IDADI YA WATEJA TUSAMBAZE NGUZO TUWAWASHIE UMEME

Na Zuena Msuya Geita

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewaambia wanakijiji ambao umeme ushafika katika maeneo yao walipie gharama za kuwashiwa umeme ili kufahamu idadi ya wateja, nguzo zisambazwe na kuunganishwa kulingana na wateja waliopo kwa wakati husika.

Ad

Dkt. Kalemani alisema hayo wakati akiwasha umeme katika Kijiji cha Rusungwa Kata ya Nyamirembe, Bugwego Kata ya Bwongera Wilayani Chato na Kijiji cha Businda Wilayani Bukombe mkoani Geita alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020.

Dkt. Kalemani alisema kuwa vijiji vingi tayari vimefikiwa na umeme katika maeneo machache hivyo wananchi wanatakiwa kulipia gharama za kuwashiwa umeme ili ifahamike idadi ya wateja waliopo na kupelekewa nguzo za kusambazwa kwa wateja waliopo na wawashiwe umeme.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani,( kushoto) akiruka maji wakati akienda kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini katika Kijiji cha Bugwego Kata ya Bwongera Wilayani Chato,mkoani Geita, alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020. Dkt. Kalemani alilazimika kutembea kwa mguu kufikia maeneo hayo kuwa magari hayafiki kwa sababu ya kuharibika kwa barabara kufuatia mvua kubwa zilizokuwa zinanyesha katika maeneo mbalimbali nchini.

Pia alieleza kuwa kitendo cha wanakijiji kuacha kulipia gharama za kuuwashiwa umeme wakisubiri kuona nguzo zimesambaa katika maeneo yao, hali ya kuwa tayari umeme umeshafika katika vijiji vyao, kunachelewesha kasi ya kuwawashia umeme wanakijiji katika nyumba zao kwa kuwa mamlaka husika zinasambaza nguzo kulingana na wateja waliopo eneo husika kwa wakati husika, hivyo wananchi wachangamkie fursa na kulipia gharama ya shilingi 27,000 tu.

Vilevile alisema kuwa wanakijiji hao hawapaswi kuhoji kuhusu nguzo kufika katika maeneo yao kwakuwa hilo si jukumu lao, ila wanachotakiwa kufanya ni kulipia gharama za kuwashiwa umeme tu, na baada ya kulipia gharama ndipo wahoji endapo hawajawashiwa umeme.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

15 Maoni

  1. Nevertheless, it’s all carried out with tongues rooted solidly in cheeks, and everybody has got nothing but absolutely love for their friendly neighborhood scapegoat. In reality, he is not merely a pushover. He is simply that extraordinary breed of person solid enough to take all that good natured ribbing for what it really is.

  2. I just added this to my favorites. I truly love reading your posts. Tyvm!

  3. We need to build frameworks and funding mechanisms.

  4. Nice to meet you! We are a online retailer since 1988. Welcome to Elivera 1988-2023. EliveraGroup sells online natural cosmetics, beauty products, food supplements. We connect people with products and services in new and unexpected ways. The company ELIVERAGroup, is a Retailer, which operates in the Cosmetics industry. ELIVERA was established in 1988. © ELIVERA LTD was established in 2007. The first project was in 1988. It was carried out in trade with Russia, Belarus, Ukraine, Belgium, Hungary, Poland, Lithuania, Latvia and Estonia.

  5. Nice to meet you! We are a online retailer since 1988. Welcome to Elivera 1988-2023. EliveraGroup sells online natural cosmetics, beauty products, food supplements. We connect people with products and services in new and unexpected ways. The company ELIVERAGroup, is a Retailer, which operates in the Cosmetics industry. ELIVERA was established in 1988. © ELIVERA LTD was established in 2007. The first project was in 1988. It was carried out in trade with Russia, Belarus, Ukraine, Belgium, Hungary, Poland, Lithuania, Latvia and Estonia.

  6. A wholly agreeable point of view, I think primarily based on my own experience with this that your points are well made, and your analysis on target.

  7. The company ELIVERAGroup, is a Retailer, which operates in the Cosmetics industry.

  8. The company ELIVERAGroup, is a Retailer, which operates in the Cosmetics industry.

  9. I don’t know if it’s just me or if everybody else experiencing issues with your site. It appears as though some of the written text on your content are running off the screen. Can someone else please provide feedback and let me know if this is happening to them as well? This could be a problem with my web browser because I’ve had this happen before. Appreciate it

  10. Glad to be one of several visitors on this awful internet site : D.

  11. Hello there I am so delighted I found your weblog, I really found you by mistake, while I was searching on Google for something else, Anyhow I am here now and would just like to say cheers for a remarkable post and a all round exciting blog (I also love the theme/design), I don’t have time to browse it all at the moment but I have book-marked it and also included your RSS feeds, so when I have time I will be back to read a lot more, Please do keep up the superb work.

  12. Our community leaders need to read this, and look at developing some of your recommendations.

  13. it is a really nice point of view. I usually meet people who rather say what they suppose others want to hear. Good and well written! I will come back to your site for sure!

  14. generic cialis vs cialis Avoid getting injections into the muscles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *