Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua maendeleo yaujenzi wa Kivuko cha Mafia, kitakachotoa huduma kati ya Nyamisati, wilayani Kibiti na Kisiwa cha Mafia, kwenye karakana ya Songoro Marine, iliyopo Kigamboni, jijini Dar es salaam, Oktoba 5, 2020.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Mkurugenzi wa Ufundi, Kampuni ya Songoro Marine, Khalid Songoro, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Kivuko cha Mafia, kitakachotoa huduma kati ya Nyamisati, wilayani Kibiti na Kisiwa cha Mafia, kwenye karakana ya Songoro Marine, iliyopo Kigamboni, jijini Dar es salaam, Oktoba 5, 2020.