Maktaba ya Kila Siku: March 8, 2021

HAKIKISHENI WATOTO WANAPATA TIBA SAHIHI PINDI WANAPOUGUA – MTAALAMU KUTOA PASS

Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam Wazazi na walezi nchini wameshauriwa  kuwapeleka  watoto wao katika vituo vya afya kwa ajili ya uchunguzi na matibabu stahiki pindi watakapoonesha viashiria  vyovyote vya ugonjwa. Wito huo umetolewa leo na kiongozi wa kikundi cha wanawake kutoka Taasisi binafsi ya kuwezesha sekta ya kilimo …

Soma zaidi »