KATIBU MKUU MWAKALINGA APOKEA KIVUKO CHA MV.PANGANI II Matokeo ChanyA+ October 22, 2020 MAWASILIANO IKULU, WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO Acha maoni 768 Imeonekana Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga amepokea kivuko cha MV.PANGANI II kilichofanyiwa ukarabati mkubwa katika sherehe zilizofanyika Tanga, MV. PANGANI II kimefanyiwa ukarabati kwa gharama ya shilingi milioni 496 na kina beba abiria 100 na magari madogo 4 sawa na tani 50. Ad Share Facebook Twitter Stumbleupon LinkedIn Pinterest