Tanzania imeshika nafasi ya nne kati ya nchi tisa za Kusini na Mashariki mwa Afrika zilizofanyiwa utafiti kwa kuwa na asilimia 64 ya watu wanaoamini kuwa hali ya umiliki wa ardhi na makazi ni salama. Hayo yalibainika wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Matokeo ya Utafiti wa Msingi kuhusu Haki …
Soma zaidi »Matokeo ChanyA+
LIVE: MKUTANO WA KUMI NA TANO, KIKAO CHA KUMI NA SABA, MASWALI NA MAJIBU KUTOKA BUNGENI
SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAMAHA WA KODI KWA BAADHI YA BIDHAA
Serikali imeendelea kutoa msamaha wa kodi kwa baadhi ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi na kutoza kodi zaidi kwenye bidhaa zinazoingia nchini ili kuhakikisha bidhaa za wazalishaji wa ndani zinalindwa. Akizungumza Bungeni leo jijini Dodoma, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Injiania Stella Manyanya alisema kuwa Serikali imeendelea kutoa msamaha wa …
Soma zaidi »RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA BRAZIL NCHINI
SPIKA NDUGAI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SAYANSI
MAKAMU WA RAIS AZINDUA RIPOTI YA MAZINGIRA JIJINI DAR ES SALAAM
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amezindua ripoti ya hali ya Hali ya Mazingira nchini Tanzania ambapo ripoti hiyo imetaja sababu mbalimbali ikiwemo ya kasi ya ongezeko la watu na ukuaji wa maendeleo unachangia kwa sehemu kubwa uharibifu wa mazingira. Akizungumza Mei 6,2019 wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo uliofanyika …
Soma zaidi »LIVE: KUTOKA VIWANJA VYA KARIMJEE KWENYE UTOAJI HESHIMA ZA MWISHO KWA DKT. MENGI
https://youtu.be/QWOgfFlJNf4
Soma zaidi »LIVE: MKUTANO WA KUMI NA TANO, KIKAO CHA KUMI NA SABA,MASWALI NA MAJIBU BUNGENI
LIVE: SIMANZI; MWILI WA DKT MENGI UKIWASILI KUTOKA DUBAI
https://youtu.be/2ED8AmqaEQY
Soma zaidi »IFIKAPO JUNI 30,MITAA YOTE YA MAJIJI IWE IMESAMBAZIWA UMEME – DKT. KALEMANI
Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani amewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha kuwa ifikapo tarehe 30 Juni, 2019, mitaa yote isiyo na umeme katika Majiji yote nchini iwe imesambaziwa umeme. Dkt Kalemani aliyasema hayo tarehe 5 Mei, 2019, mara baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali jijini …
Soma zaidi »