Matokeo ChanyA+

Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+.

ZANZIBAR KUTOA USHIRIKIANO KWA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Simai Mohamed Said amesema Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano kwa shirika la nguvu za atomiki Dunia  ili kukuza na kuimarisha teknolojia ya utumiaji wa mionzi. Ameyasema hayo katika mkutano wa pamoja na ujumbe wa shirika la Nguvu za Atomic Duniani (IAEA) kanda …

Soma zaidi »

MIRADI 1,659 YA MAJI YAKAMILIKA

Huduma za Maji Mijini na Vijijini: Miradi 65 imekamilika na kufanya jumla ya miradi yote iliyokamilika kufikia 1,659 na vituo vya kuchotea maji kuongezeka hadi 131,370 na kuhudumia wananchi 25,359,290. Upatikanaji wa huduma za maji Jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 85, katika mikoa mingine asilimia 80, miji midogo asilimia …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI UGANDA

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli pamoja na wasaidizi wake imeamua kufanya kazi kwa bidii sana kukuza uchumi wake. Makamu wa Rais ameyasema hayo wakati alipokutana na Viongozi wa Watanzania wanaoishi nchini Uganda katika hoteli ya Munyonyo Commonwealth Resort jijini …

Soma zaidi »

ENG.MFUGALE – UWANJA TUNAOJENGA DODOMA UTAKUWA NA UWEZO WA KUCHUKUA WATAZAMAJI 85,000 NA 100,005

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Machi, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Urusi ulioongozwa na Mjumbe Maalum wa Rais wa Urusi katika masuala ya Afrika ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Mikhail Bogdanov, Ikulu Jijini …

Soma zaidi »

TAARIFA MUHIMU KUTOKA TANESCO

• INAHUSU UFAFANUZI WATAARIFA ZILIZOTOLEWA MTANDAONI KUHUSU: – TATIZO LA KUKATIKA MARA KWA MARA UMEME MKOANI RUVUMA – BODI YA WAKURUGENZI YA TANESCO Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kutoa ufafanuzi Juu ya taarifa iliyotolewa kupitia mitandao ya kijamii kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO imesikitishwa na matumizi madogo ya …

Soma zaidi »

TANZANIA YAINGIA MAKUBALIANO NA BRAZIL KUINUA KILIMO CHA PAMBA

Tanzania na Brazil zimeingia makubaliano ya kuinua kilimo cha Pamba ili kiwe na tija kwa wakulima nchini. Makubaliano hayo yamejili wakati ambapo Brazil ipo katika hatua kubwa za kimageuzi ya kilimo huku ikiwa na mafanikio makubwa katika sekta hiyo ambapo unatekelezwa katika nchi tatu za Burundi, Kenya na Tanzania. Mradi …

Soma zaidi »

WAZIRI WA FEDHA – UJENZI WA SGR UNAENDELEA VIZURI KAMA ULIVYOPANGWA

Waziri Fedha na MIpango Dr Philip Mpango amesema Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Standard Gauge: Ujenzi wa kipande cha Dar es Salaam – Morogoro (km 300) unaendelea vizuri kama ilivyopangwa, ambapo shughuli zinazoendelea ni ujenzi wa madaraja, makalavati, daraja lenye urefu wa km 2.54 katikati ya jiji …

Soma zaidi »