Rais Dkt John Pombe Magufuli akiagana na wenyeji wake spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Pius Msekwa na Mkewe Mama Anna Abdallah Msekwa Ikulu ndogo Nansio Ukerewe Mkoani Mwanza.
Soma zaidi »Matokeo ChanyA+
SERIKALI YA AWAMU YA TANO; Miaka mitatu madarakani
• Imejenga hostel bora na za bei nafuu zinazonufaisha wanafunzi zaidi ya 4,000 katika Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) ” Kabla ya hostel hivi kujengwa, ilikuwa wanafunzi wanapanga vyumba mitaani.. Pia wengine wanapata vyumba ambavyo viko mbali na chuo ambapo pia inawawia vigumu kwenye usafiri ifikapo asubuhi.. ile kuhangaika …
Soma zaidi »Live: Rais Magufuli akihutubia Wananchi kupitia Mkutano wa hadhara katika uwanja wa ukuta mmoja uliopo nansio, Ukerewe – Tarehe 4 Septemba 2018
https://www.youtube.com/watch?v=mj_03P-BgOI
Soma zaidi »RAIS WA ZANZIBAR AKIZUNGUMZA KATIKA UZIDUNZI WA OFISI MPYA ZA WAKALA WA MATUKIO YA KIJAMII NA MFUMO WA KIDIGITALI WA USAJILI WA MATUKIO YA KIJAMII
Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein amesema kuwa takwimu sahihi ni jambo muhimu kwa serikali katika kupanga maendeleo ya watu wake. Amesema hayo katika uzinduzi wa mfumo mpya wa kidigitali wa usajili wa matukio ya kijamii, huko Dunga Wilaya ya Kati …
Soma zaidi »UZINDUZI WA OFISI ZA KIDIJITALI ZA USAJILI WA MATUKIO YA KIJAMII ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akizindua kituo cha Wakala wa usajili wa matukio ya kijamii Zanzibar- Dunga Wilaya ya kati Unguja Posted by Ikulu habari Zanzibar on Tuesday, September 4, 2018
Soma zaidi »MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MFUMO MPYA WA KIDIGITALI WA USAJILI YAKAMILIKA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein atazindua mfumo mpya wa kidigitali wa usajili wa matukio ya kijamii Zanzibar September 4,2018 huko Dunga Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kuanzia saa nne asubuhi. Tazama picha za ofisi mpya za Wakala wa Usajili wa …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA USHIRIKIANO KATI YA CHINA NA AFRIKA JIJINI BEIJING
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA KONGOMANO LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA- BEIJING
RAIS MAGUFULI KUSHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA UJENZI WA MELI
Mhe. Rais Dkt John Magufuli leo Septemba 03, 2018 atashuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa meli mpya na chelezo katika Ziwa Victoria, tukio hili linafanyika Jiji Mwanza. Na litarushwa moja kwa moja na TBC1, Azam Tv, ikulu.go.tz na millarday.com
Soma zaidi »WATALII 64 WAWASILI DAR KUPITIA RELI YA TAZARA
Watalii 64 kutoka nchini Ujerumani wamewasili Jijini Dar es Salaam leo kupitia reli ya TAZARA wakitokea nchini Afrika ya Kusini kwa kutumia treni maarufu ya kitalii ijulikanayo kama ROVOS ya nchini humo. Watalii hao wamekuja Tanzania kwa ajili ya kutembelea maeneo mbalimbali yenye vivutio vya utalii hapa nchini ikiwemo mbuga …
Soma zaidi »