Matokeo ChanyA+

Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+.

FLYOVER YA ENG. MFUGALE; KUTOKA WAZO, AHADI, MAAMUZI, USIMAMIZI HADI UHALISIA!

“Mtakumbuka ndugu zangu.. wakati tukiomba kura.. ili tuchaguliwe; Tulieleza mengi.” “Na moja ya yale tuliyoyaeleza..na hasa mimi nilipokuwa hapa Dar es Salaam, nilisema nitahakikisha barabara ya Flyover inajengwa na Dar es Salaam inabadilika.” “Ahadi ni deni. Nina uhakika kwa wana Dar es Salam leo ni ushahidi tosha.. kwa sababu tulipokuwa …

Soma zaidi »

UJANJA UJANJA, UBADHILIFU, RUSHWA & UFUSADI; HAVINA NAFASI AWAMU HII – MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

• Awaasa Watanzania kubadilika na kuwa waadilifu, wachapa kazi na Wazalendo. • Wataka waunge mkono juhudi za Rais na serikali katika kujenga na kukuza uchumi wa Taifa. maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA Bofya link ifuatayo kuona video https://vimeo.com/user63874414/review/291051363/6f08a386b4

Soma zaidi »

BARABARA MPYA ZA LAMI ZA MITAA YA MIKOCHENI NA MSASANI ZAONGEZA KASI YA KUKUZA UCHUMI JIJINI DSM.

• Zimerahisisha usafiri katikati ya mitaa hiyo • Za pinguza msongamano kwa kiasi kikubwa barabara ya Mwai Kibaki • Sasa mitaa ya Sayansi Kijitonyama, Msasani kwa Mwalimu, Mikocheni, Msasani na Masaki imeunganishwa kwa njia za lami zaidi ya moja. • Tatizo la mafuriko na mitaro isiyopitisha maji kipindi cha masika, …

Soma zaidi »

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI: Jukumu la Kiongozi ni kuwatumikia wananchi na si kuweka mbele masĺahi binafsi.

KATIBU MKUU KIONGOZI, MHE. MHANDISI BALOZI JOHN KIJAZI katika kikao na Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu, amewataka watendaji hao muhimu wa serikali kuzingatia na kulinda maslahi ya wananchi na si vinginevyo. Balozi Kijazi alisema; “Kauli mbiu ya Kikao Kazi hiki ni Uongozi makini na wapamoja unaozingatia uzalendo, uwajibikaji,utawala Bora …

Soma zaidi »

#TupoVizuri; Utandikaji Reli SGR Waanza Rasmi!

• Kwa siku chache zijazo km 55 zitakuwa tayari zimekamilika kutandikwa reli ya kisasa – SGR. • Waziri wa Mawasiliano, Ujenzi na Uchukuzi Eng. Isack Kamwele azindua zoezi hilo rasmi. • Kasi ya ujenzi yawa kubwa huku ari ya utendaji wa wafanyakazi ikingezeka maradufu. hakika maendeleo yanaonekana… maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ yenye …

Soma zaidi »

WANANCHI WA KJIJI CHA MUSANJA WAJITOLEA KUJENGA DARAJA

  Wananchi wa Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja wamejitolea kwa hali na mali kujenga daraja linalounganisha Vitongoji vya Kaharaga na Kukema (ilipo S/M Musanja) ili kurahisisha mawasiliano kati ya Shule na Jamii inayozunguka Shule hiyo. Ujenzi wa Daraja hilo utasaidia wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Musanja waliokuwa wanapata shida …

Soma zaidi »