Rais Dkt John Magufuli, amezindua flyover ya MFUGALE hii leo katika makutano Tazara jijini Dar Es Salaam. Rais Magufuli amesema kuwa flyover hiyo imepewa jina hilo kutokana na kazi nyingi alizofanya Injinia Patrick Mfugale, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini(TANROADS),kwa uaminifu mkubwa na kwa kutanguliza utanzania badala …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MKURUGENZI MKAZI WA AfDB NA MABALOZI WAWILI LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) nchini Dkt. Alex Mubiru ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kujitambulisha. Makamu wa Rais amesema kuwa AfDB imeahidi kuendelea kushirikiana na …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA BALOZI SARAH COOKE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Mhe. Sarah Cooke. Pamoja na mambo mengine Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Sarah Cooke alimpa taarifa Makamu wa Rais juu ya ziara ya Mwanamfalme William wa Uingereza, atakayewasili nchini wiki ijayo kwa ziara …
Soma zaidi »SASA MAENDELEO YANAONEKANA!
• Wananchi wazungumza namna Eng. Mfugale Flyover inavyoiacha TAZARA jeupe • Wasifu na kupongeza wote waliofanikisha ujenzi wa Flyover hiyo. • Sasa foleni yawa historia eneo la TAZARA • Kutokea Posta/Airport sasa hakuna kusimama eneo la TAZARA #SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA 💪🏿💪🏿 ( Bofya link 👇🏽)
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AZINDUA URITHI FESTIVAL
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kwa kutambua umuhimu wa sekta ya utalii kwa uchumi wa nchi yetu, na kwamba ili kuweza kupata watalii wengi zaidi lazima kuwa na usafiri wa anga ulio na uhakika; ndiyo maana Serikali imeamua kufufua shirika letu …
Soma zaidi »MAGARI YARUHUSIWA RASMI KUTUMIA FYLOVER YA TAZARA
Daladala na magari mengine kutoka Posta kuelekea Airport yapita upande wake bila kusimama na hata yale yanayotoka Airport kuelekea Posta nayo yanapita bila kusubiri kuongozwa na taa. Magari yanayotumia barabara ya Mandela ndiyo pekee yanaongozwa na taa za kisasa zilizofungwa katika kuta nzito za sehemu ya katikati ya flyover hiyo. …
Soma zaidi »LIVE: Kutoka Dodoma; Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Tamasha la Urithi
• Ni katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Fuatilia kwa kubofya link Hii
Soma zaidi »UGAWAJI MIL.50 KILA KIJIJI UNAKUJA; LAKINI KWA SASA, BADO – MAMA SAMIA
Awaasa wananchi kuwa makini na matapeli wanaochangisha pesa wakidai watawaiginza katika mgao wa fedha hizo. Asema wapo wanatumia jina la Ofisi yake kuwalaghai wananchi Asema pesa hizo zitakuja lakini kwa sasa serikali inashughulikia mambo ya huduma za jamii kwanza.
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AWATAKA WAZAZI KUACHA KUWAPA WATOTO POMBE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, amewaasa wazazi kuacha kuwapa watoto kilevi pindi wanapotoka kwenda katika shughuli zao,amesema hayo mkoani Kigoma akiwa Katika ziara ya kikazi mkoani humo.
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS: Muongozwe na Roho Mtakatifu katika kila mtakayoyatenda
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia wakati wa sherehe ya kusimikwa kwa Askofu Mkuu Msaidizi pamoja na Maaskofu wa Majimbo wa Kanisa la Pentekoste Motomoto, Mwanga mkoani Kigoma Jumapili Septemba 09,2018.
Soma zaidi »