Taarifa ya Habari

MKUTANO WA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KUFANYIKA NCHINI CHINA KUANZIA 19-26 JUNE 2019.

Ubalozi wa Tanzania nchini China kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii nchini (TTB) umeandaa mikutano ya kutangaza utalii kuanzia tarehe 19-26 June 2019.Mikutano hiyo itafanyika katika miji ya Beijing(19th),Shanghai (21st) Nanjing (24th) na Changsha(26th) na kuhudhuriwa na tour operators, travel agents na media kutoka Tanzania na China. Wadau wa utalii …

Soma zaidi »

MIRADI 15 YENYE THAMANI YA TSH. BILIONI 22.9 YAZINDULIWA WILAYANI ARUMERU

Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio za siku mbili katika halmashauri mbili za wilaya ya Arumeru ambapo jumla ya miradi 15 Kati ya Miradi 16 yenye thamani ya Bilioni 22.9 imezinduliwa, kuwekewa mawe ya msingi, na mingine kukaguliwa na kuangalia uendelevu wake Akihitimisha mbio hizo za mwenge kwa halmashauri ya Meru …

Soma zaidi »

RC NDIKILO ARIDHISHWA NA UJENZI WA NYUMBA 42 ZA ASKARI MKOANI PWANI AMBAZO ZITAGHARIMU SH.BIL. MOJA

Mwnyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo, ameridhishwa na ujenzi wa nyumba 42 za askari ambazo zipo kwenye hatua ya umaliziaji kwa kanda maalum ya kipolisi Rufiji na jeshi la polisi mkoani Pwani ambazo zitagharimu sh. bilioni moja. Aidha amewaasa wadau kushiriki kusaidia ujenzi wa …

Soma zaidi »

LIVE: HAFLA YA UAPISHO NA KUPOKEA MRABAHA KUTOKA AIRTEL IKULU DSM

  Ikulu, Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Juni, 2019 awaapisha viongozi wafuatao aliowateua hivi karibuni – 1.Mhe. Innocent Lugha Bashungwa(Mb) kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara 2.Bw. Charles Edward Kichere kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe 3.Bw. …

Soma zaidi »

SERIKALI KUFANYA UTAFITI NA TATHMINI KUHUSU MAJI KUJAA KWENYE MASHAMBA

Serikali imearifu kuwa inafanya utafiti na tathmini ya kina ya maji kujaa kwenye mashamba ya wakulima katika maeneo mbalimbali nchini. Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba ameyasema hayo Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 10 Juni 2019 wakati akijibu swali la Mhe Yahaya Omary Massare wa Jimbo la Manyoni Magharibi …

Soma zaidi »

WAZIRI LUGOLA AFANYA ZIARA TERMINAL III KUKAGUA JESHI LA POLISI,UHAMIAJI NA ZIMAMOTO

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola leo Jumapili Juni 9, 2019 amefanya ziara katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere-JNIA (Terminal III), jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuvikagua vyombo vyake (Jeshi la Polisi, Zimamoto na Uhamiaji), kabla ya Jengo jipya la uwanja …

Soma zaidi »

WAKAZI ZAIDI YA 1000 WA KANDA YA ZIWA WANUFAIKA NA HUDUMA YA UPASUAJI BURE

Zaidi ya wakazi 1000 wa Kanda ya Ziwa wamenufaika na matibabu bure hasa kwa upande wa upasuaji unaofanywa na Chama cha Madaktari wa Upasuaji Tanzania. Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Madaktari wa Upasuaji Tanzania, Dkt. Catherine Mung’ong’o wakati wa siku ya kuhitimisha zoezi la upasuaji lililofanyika kwa siku …

Soma zaidi »