Taarifa ya Habari

RAIS MAGUFULI ATOA SIKU 30 KWA VIONGOZI NA WATENDAJI WAKUU WA SERIKALI KUTUMIA HUDUMA ZA KAMPUNI YA TTCL

Rais Dkt.John Magufuli siku 30 Ofisi ya Rais-IKULU, Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara pamoja na Viongozi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma,kutum kutumia huduma za Kampuni ya Mawasiliano ya Simu Nchini (TTCL)ikiwemo laini, ili kupanua huduma za mawasiliano ya Mtandao wa Kampuni hiyo nchini. …

Soma zaidi »

LUKUVI ATANGAZA KUPANGWA MAENEO ITAKAPOPITA RELI YA MWENDOKASI (SGR)

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ametangaza kupangwa kwa maeneo yote itakapopita reli ya Mwendokasi (SGR) ili shughuli zitakazofanyika katika wilaya na vijiji inapopita reli hiyo kwenda sambamba  shughuli za kiuchumi za mradi wa reli hiyo. Aidha, Lukuvi alisema wakati wa kupanga maeneo hayo hakuna mwananchi …

Soma zaidi »

UPANUZI CHUO CHA UALIMU PATANDI KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA WALIMU WA ELIMU MAALUM

Serikali imekamilisha upanuzi wa Chuo cha Ualimu Patandi ili kukiongezea uwezo wa kudahili walimu wenye taaluma ya elimu maalum wanaohitajika nchini ili kupunguza changamoto ya walimu hao. Hayo yameelezwa leo Bungeni, Jijini Dodoma na Mhandisi Stella Manyanya alipokuwa akijibu swali la Mhe. Grace Victor Tendega Mbunge wa Viti Maalum kwa …

Soma zaidi »

KIPAUMBELE CHA WIZARA NI KUPELEKA NISHATI KWA WANANCHI

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewaeleza watumishi wa Wizara ya Nishati kuwa kipaumbele cha Wizara ni kupeleka nishati kwa wananchi ikiwamo ya Umeme na Gesi hivyo amewaasa kushirikiana kwa pamoja na kufanya kazi kwa weledi. Dkt. Kalemani alitoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Wizara …

Soma zaidi »

SERIKALI KUMALIZA TATIZO LA KUKATIKA UMEME, KOROGWE

Serikali imesema changamoto ya kukatika umeme mara kwa mara wanayoipata wananchi wa Korogwe inafanyiwa kazi na  itaisha ndani ya kipindi kisichozidi mwezi mmoja kuanzia sasa, hivyo wawe wenye subirá na waondoe hofu. Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani aliyasema hayo kwa nyakati tofauti jana, Mei 19, 2019 akiwa katika ziara …

Soma zaidi »

WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA NA JUMUIA YA MABOHORA

Jumuia ya Mabohora Nchini imesema imeanza jitihada za kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli za kuhamia Dodoma kwa kuanza kuhamishia baadhi ya biashara zao mkoni humo. Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuia ya Mabohora Zainuddin Adamjee akiwa na ujumbe wake …

Soma zaidi »

WANANCHI WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUWAWEZESHA KUPITIA MKURABITA

Wananchi Wilayani Uyui mkoani Tabora Wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwawezesha kurasimisha mashamba yao na kupatiwa hati za haki milki za kumiliki ardhi hali inayowawezesha kujikwamua kiuchumi. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza wakati wa mahojiano maalum Wilayani humo akiwemo mkazi wa  Miyenze …

Soma zaidi »

MAKATIBU WAKUU WA HABARI NA ELIMU WAKUTANA KUJADILI SULUHU YA ENEO LA KIMILA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA.

Makatibu Wakuu wa Wizara ya Habari ,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bibi. Susan Mlawi na Katibu Mkuu Wizara ya  Elimu , Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo pamoja na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha Dkt. Masudi Senzia wamekutana na Viongozi wa Wazee wa Kimasai ili kupata suluhu la eneo la …

Soma zaidi »