Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Muleba wakati akiwa njiani kuelekea Bukoba mkoani Kagera tarehe 17 Januari 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Kemondo wakati akieleka Bukoba mjini mkoani …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
January, 2021
-
18 January
HOSPITALI YA UHURU YAANZA KUTOA HUDUMA
Katibu wa kuratibu shughuli za Serikali kuhamia Dodoma Meshack Bandawe akizungumza jambo na manesi wanaofanya kazi katika hospital ya uhuru iliyopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.Hospitali hiyo ambayo ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 99.8, imeanza kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje. Hospitali ya Uhuru inayojengwa kwa gharama za bilioni 3.9 …
Soma zaidi » -
16 January
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MWAMBE AMEIAGIZA EPZA KUJIKITA KATIKA UJENZI WA MAENEO MAPYA YA VIWANDA KULINGANA NA BIASHARA
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb) akiongea na menejimenti na watumishi wa EPZA alipofanya ziara akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) pamoja na baadhi ya wakurugenzi wa Wizara ya Viwanda na Biashara Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe …
Soma zaidi » -
16 January
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMEWATAKA WATUMISHI WA TBS NA WMA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe wakuwa wameambatana na Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Dkt. Athuman Ngenya wakipokea maelezo kutoka Mkuu wa maabara ya kemia, Florian Bataganwa wakati wakikagua maabara za Shirika la Viwango Tanzania …
Soma zaidi » -
15 January
PROFESA MCHOME AITAKA TUMESHERIA KUFANYA TATHMINI YA SHERIA KUELEKEA UCHUMI WA JUU
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Profesa Sufini Mchome ameitaka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (TUMESHERIA) kuangalia mifumo na sheria itakayoiwezesha Tanzania kuelekea uchumi wa juu kutoka katika nchi za uchumi wa kipato cha kati uliopo sasa. Akizungumza wakati wakifungua mkutano wa 15 wa Baraza la Wafanyakzi la Tume …
Soma zaidi » -
15 January
DKT. FAUSTINE NDUGULILE AITAKA TTCL IACHE KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Jim Yonazi akizungumza kumkaribisha Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Faustine Ndugulile (aliyeketi katikati) kabla ya kufungua kikao cha utendaji kazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, Dodoma. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Waziri Kindamba Waziri wa …
Soma zaidi » -
15 January
NAIBU WAZIRI SILINDE AIPONGEZA WILAYA YA ARUMERU KWA UJENZI WA MADARASA
Naibu waziri ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe David Silinde (Mb) ameipongeza wilaya ya Arumeru pamoja na Halmashauri zake mbili za Meru Dc na Arusha Dc kwa kazi ya ujenzi wa madarasa pamoja na usimamizi madhubuti wa fedha za Umma za miradi ya EP4R Mhe Silinde ambae amefanya ziara leo Tarehe …
Soma zaidi » -
14 January
NAIBU WAZIRI KASEKENYA AWATAKA WATENDAJI KUFANYA MAAMUZI
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya (aliyevaa suti ya kaki) katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Uchukuzi, lililofanyika kwa siku mbili mkoani Mwanza Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ameitaka menejimenti na viongozi wa taasisi wa Sekta ya Uchukuzi …
Soma zaidi » -
14 January
MKOA WA RUVUMA WAONGOZA KITAIFA MARA MBILI MFULULIZO KWA UZALISHAJI WA CHAKULA
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Chritina Mndeme amewapongeza wakulima Mkoani Ruvuma kwa kuongoza mara mbili mfululizo kitaifa katika uzalishaji wa mazao ya chakula nchini. Mndeme ametoa pongezi hizo wakati anafungua Kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea mjini Songea. Akizungumzia muhtasari wa …
Soma zaidi » -
14 January
BARABARA YA MBINGA -MBAMBABAY KUFUNGUA FURSA MPYA ZA UCHUMI RUVUMA
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema kukamilika kwa ujenzi wa kiwango cha lami kwa barabara ya Mbinga hadi Mbambabay yenye urefu wa kilometa 66 kunafungua fursa mpya za kiuchumi. Mndeme alikuwa anazungumza wakati anafungua kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya …
Soma zaidi » -
14 January
WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI AMTAKA MKANDARASI UJENZI DARAJA LA MAGUFULI JIJINI MWANZA KUTOA AJIRA ZA VIBARUA KWA WAZAWA
Muonekano wa sasa wa Daraja la Kigongo-Busisi, lenye urefu wa wa mita 3200, na barabara unganishi (km1.66). Daraja hili linagharamiwa na Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia 100. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho, amemtaka Mkandarasi anayejenga Daraja la Magufuli jijini Mwanza, kutoa ajira …
Soma zaidi » -
14 January
WALIOKAIDI MKATABA WA NARCO KIKAANGONI NDANI YA SIKU KUMI
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki ametoa siku kumi kwa Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kubaini na kuwanyang’anya maeneo, wawekezaji waliopatiwa vitalu katika ranchi za taifa ambao wamebadili matumizi ya ardhi kinyume na makubaliano ya mikataba yao. Waziri Ndaki amebainisha hayo jana (12.01.2021) wakati alipotembelea Ranchi ya …
Soma zaidi » -
13 January
WAZIRI LUKUVI ATAKA WATENDAJI WA MITAA KUSIMAMIA ARDHI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuhakikisha wanashusha usimamizi wa masuala ya ardhi kwa watendaji wa mitaa na vijiji na sio kwa wenyeviti wa mitaa na vijiji kama ilivyo sasa ili kuepuka migogoro ya ardhi, ujenzi holela na kurahisisha ufuatiliaji …
Soma zaidi » -
13 January
KAIMU KATIBU MKUU NISHATI, AKAGUA ENEO LA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA MAJI YA MTO RUHUDJI
Muonekano wa sehemu moja ya eneo la Mto Ruhudji ambalo limegawanyika mara mbili katika eneo moja, utakapojengwa mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya mto huo, lililopo kati ya Kijiji cha Itipula na Lupembe, Wilayani Njombe Mkoani Njombe, Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja …
Soma zaidi » -
13 January
WAZIRI MWAMBE ATOA UFAFANUZI WA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA KUPIKIA NCHINI
Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe amewahakikishia wananchi kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta ya kula itatengemaa mara baada ya kuanza upakuaji wa mafuta ya kula yanayoingizwa kutoka nje ya nchi kupitia bandari yetu ya Dar es salaam. Changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula umetokana na upungufu wa …
Soma zaidi »