Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema ubunifu wa kuweka huduma za kijamii walioonesha Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika nyumba za makazi Magomeni (Magomeni Kota,) umeiongezea thamani wakala hiyo na kwa kiasi kikubwa wakazi wa eneo hilo hawatapata changamoto za huduma za kijamii ikiwemo maji pamoja na maduka …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
January, 2021
-
12 January
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AMPONGEZA NA KUMSHUKURU FLAVIANA MATATA KWA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU CHALINZE
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amempongeza na kumshukuru Mwanamitindo wa Kimataifa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Flaviana Matata, Bi.Flaviana Matata kwa kujitoa kwake kusaidia masuala ya elimu ndani ya Jimbo hilo. Awali akizungumza wakati wa kutoa shukrani zake kwa mwanamitindo huyo, Mbunge Ridhiwani Kikwete alisema wameupokea kwa mikono …
Soma zaidi » -
11 January
RAIS NYUSI: RAIS MAGUFULI ANASHUGHULIKIA MAISHA YA WATU
Na Immaculate Makilika- MAELEZO, Chato Rais wa Msumbiji, Felipe Jacinto Nyusi amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anashughulikia maisha ya wananchi kwa kuendelea kuboresha sekta ya huduma za afya nchini. Rais Nyusi amesema hayo leo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa …
Soma zaidi » -
11 January
UJENZI WA BARABARA ZA KIWANGO CHA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI
Ujenzi wa barabara za kiwango cha lami katika mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma wenye gharama ya bilioni 88.1 na urefu wa kilomita 51.2 umefikia asilimia 56. Hayo yamesemwa na Katibu wa kuratibu Serikali kuhamia Dodoma na Uratibu wa ujenzi wa mji wa Serikali, Meshack Bandawe wakati akikagua maendeleo ya …
Soma zaidi » -
11 January
WAZIRI BASHUNGWA AAHIDI KUPIGANI HAKI ZA WAANDISHI, ASISITIZA UZALENDO
Na A Suleiman Msuya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amesema atatumia nafasi yake kutetea haki za waandishi wa habari nchini huku akisisitiza uzalendo na utaifa kwa kada hiyo. Kauli ya Waziri Bashungwa inakuja baada ya kuwasikiliza waandishi walioshiriki mjadala wa pamoja kuhusu changamoto wanazopitia katika kutekeleza …
Soma zaidi » -
11 January
NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AUAGIZA UONGOZI WA WILAYA YA ILEMELA KUHAKIKISHA HOSPITALI MPYA YA WILAYA INATOA HUDUMA KIKAMILIFU
Na. Farida Ramadhani na Peter Haule, WFM, Mwanza Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Mwanaidi Ali Khamis, amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Ilemela kuhakikisha vifaa tiba, umeme na maji vinapatikana kwa haraka katika Hospitali mpya ya Wilaya hiyo iliyojengwa katika eneo la Kabusungu ili huduma za afya zianze kutolewa …
Soma zaidi » -
10 January
RAIS WA MSUMBIJI FILIPE NYUSI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili hapa nchini Tanzania kuanzia tarehe 11 – 12 Januari 2021 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano …
Soma zaidi » -
10 January
KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA KUZALISHWA AJIRA ZAIDI YA 3000
Kiwanda cha kuchakata bidhaa za ngozi cha Karanga kinatarajiwa kuzalisha ajira 3000 katika fani mbalimbali nchini mara baada ya kukamilika ujenzi wa jengo la kuchakata bidhaa za ngozi lililo katika hatua za mwisho. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, …
Soma zaidi » -
10 January
WAZIRI ELIMU NDALICHAKO AKAGUA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA
Muonekano wa baadhi ya majengo yanayojengwa katika Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma Mkoani Kagera Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amekagua mradi wa ujenzi wa Chuo kipya cha Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma (VETA) katika Mkoa wa Kagera. Profesa Ndalichako amefanya ukaguzi huo Januari 9, …
Soma zaidi » -
10 January
RC ARUSHA APONGEZA KAMPENI YA UJENZI WA MADARASA ARUMERU
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amempongeza mkuu wa wilaya ya Arumeru na uongozi mzima wa halmashauri ya Meru, na Halmashauri ya Arusha Dc kwa hatua nzuri waliyofikia katika ujenzi wa madarasa. Kimanta ambae amefanya ziara ya siku mbili ya ukaguzi wa ujenzi wa madarasa katika halmashauri …
Soma zaidi » -
8 January
SERIKALI IMETOA MIEZI MITATU KWA WENYE SHEHENA YA VIFUNGASHIO VISIVYOKIDHI VIWANGO VIONDOLEWA SOKONI
Serikali imetoa miezi mitatu kwa wenye shehena ya vifungashio visivyokidhi viwango vya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) vinaondolewa sokoni. Agizo hilo limetolewa leo Januari 8, 2020 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa …
Soma zaidi » -
8 January
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA WANG YI ATEMBELEA MWALO WA SAMAKI WA CHATO MKOANI GEITA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Mashimba Ndaki akimpatiamaelezo Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang Yi kuhusu samaki waaina mbalimbali na minofu yao wanaopatikana katika Ziwa Victoriawakati mgeni huyo alipotembelea Mwalo wa Chato mkoani Geita mapemaasubuhi ya leo Ijumaa Januari 8, 2021 Waziri wa Mifugo na Uvuvi …
Soma zaidi » -
8 January
NAIBU WAZIRI BASHE AAGIZA TAKUKURU KUANZA UCHUNGUZI UPOTEVU WA MILIONI 150 ZA AMCOS YA CHABUMAA
Naibu Waziri Kilimo Hussein Bashe ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Chamwino kuanza mara moja uchunguzi dhidi ya Viongozi wa Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Zabibu (CHABUMA AMCOS) katika wilaya hiyo; Waliochukua fedha kiasi cha shilingi milioni 150 ambazo zimetumika kinyume cha utaratibu. Naibu …
Soma zaidi » -
7 January
WALIMU WAHAMASISHWA KUJIENDELEZA KIELIMU
Na Veronica Simba Serikali imewahamasisha Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari nchini, kujiendeleza kielimu katika ngazi mbalimbali ili kuboresha zaidi utendaji wao wa kazi. Wito huo umetolewa jijini Dodoma leo, Januari 7, 2021 na Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Moses Chitama wakati akizungumza na Wajumbe …
Soma zaidi » -
7 January
DKT. NDUGULILE ATAKA TEKNOLOJIA RAHISI ZITUMIKE KUFIKISHA HUDUMA ZA MAWASILIANO
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile akiwaonesha na kuwataka Menejimenti na wafanyakazi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote watekeleze Ilani ya CCM ya mwaka 2020 – 2025 na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa wakati akifungua Bunge wakati …
Soma zaidi »