Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wawekezaji wachangamkie fursa zilizopo nchini kwa kuangalia maeneo mazuri ya kufanya uwekezaji mpya au kupanua uwekezaji wao. Ametoa rai hiyo (Jumapili, Agosti 16, 2020) wakati akizungumza na wakazi wa Namichiga, wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, waliohudhuria uwekaji wa jiwe la msingi kwenye kiwanda cha …
Soma zaidi »Waziri Mkuu
August, 2020
-
14 August
SERIKALI ITAENDELEA KULINDA UHURU WA KUABUDU – RAIS DKT. MAGUFULI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga waumini baada ya kuhudhuria Kilele cha Mkutano Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of GOD (TAG) jijini Dodoma leo Agosti 14, 2020 Rais Dkt. John Magufuli amelipongeza Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) kwa huduma nzuri ya …
Soma zaidi » -
14 August
WAZIRI MHAGAMA AAGIZA UONGOZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA BIDHAA ZA NGOZI CHA KARANGA KUANZA KUTAFUTA MASOKO
Muonekano wa baadhi ya Majengo ya Kiwanda hicho yaliyojegwa katika awamu ya kwanza (LOT 1) yakiwa yamekamilika. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama ameagiza uongozi wa Kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ngozi cha Karanga kutafuta masoko ndani …
Soma zaidi » -
14 August
WASOMI WAHIMIZWA KUWA WABINIFU
Na Mwandishi Wetu Lushoto Tanga Wasomi nchini wamehimizwa kutumia rasilimali zinazowazunguka kubuni miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni njia mojawapo ya kuchochea uchumi wa Viwanda. Hayo yamesemwa leo Wilayani Lushoto, Mkoani Tangana Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu alipofanya ziara katika Chuo cha Maendeleo …
Soma zaidi » -
14 August
NAIBU WAZIRI SIMA ASISITIZA ULINZI KATIKA VYANZO VYA MAJI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akitoa maelekezo akiwa katika banio la banio la mfereji wa Mnazi katika Kijiji cha Warumba, Kata ya Imalilo Wilayani Mbarali baada ya kukagua changamoto za matumizi ya maji katika eneo hilo. Kutoka kulia ni Prof Esnat Chaggu …
Soma zaidi » -
14 August
NAIBU WAZIRI MABULA HARIDHISHWI NA KASI YA UPIMAJI NYANG’HWALE
Na Munir Shemweta, WANMM NYANG’HWALE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameonesha kutoridhishwa na kasi ndogo ya upangaji na upimaji ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita. Akiwa katika ziara yake ya kikazi kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi kwenye halmashauri …
Soma zaidi » -
14 August
RAIS MAGUFULI APEWA TUZO MAALUM YA HESHIMA NA KANISA TA TAG
Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Tanzania (TAG) Dkt. Barnabas Mtokambali amesema kuwa Baraza kuu la Kanisa hilo limeamua kutoa Tuzo Maalum ya Heshima kwa Rais Dkt. John Magufuli. Amesema hayo wakati wa kumkabidhi Rais Magufuli Tuzo hiyo katika mkutano wa Baraza kuu la Kanisa hilo uliofanyika …
Soma zaidi » -
14 August
UONGOZI WA WILAYA YA KIBITI UMETEKELEZA MAAGIZO YA RAIS YA KUJENGA CHOO KATIKA STENDI NDANI YA SIKU SABA
Uongozi wa Wilaya ya Kibiti umetekeleza maagizo ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya kujenga choo katika stendi ndani ya siku saba.Hayo yamebainika (Alhamisi, Agosti 13, 2020), mara baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kukagua ujenzi wa choo hicho, Rais Magufuli alitoa agizo la kukamilika ujenzi wa choo hicho tarehe …
Soma zaidi » -
13 August
WAZIRI AAGIZA MKANDARASI WA REA AKATWE MSHAHARA
Veronica Simba – Dodoma Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, ameagiza Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu, Mzunguko wa Kwanza, mkoani Dodoma akatwe asilimia 10 ya malipo yake kutokana na kuchelewa kukamilisha kazi hiyo. Alitoa maagizo hayo, Agosti 12, 2020 baada ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa …
Soma zaidi » -
13 August
MAENEO YANAYOTENGWA KWA UWEKEZAJI YAPIMWE -NAIBU WAZIRI MABULA
Na Munir Shemweta, WANMM BUKOMBE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameziagiza idara za ardhi kwenye halmashauri kuhakikisha maeneo yanayotengwa kwa ajili ya shughuli za uwekezaji yanapimwa sambamba na kuwa na mpango wa matumizi bora ardhi katika vijiji. Dkt Mabula alisema hayo jana wilayani …
Soma zaidi » -
13 August
KAMPUNI YA GGML NA HALMASHAURI YA MJI WA GEITA WAMESAINI MAKUBALIANO YA MPANGO WA KUSAIDIA JAMII WENYE THAMANI YA SH BIL 9.2
Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Richard Jordinson (kulia) akikabidhi mkataba wa makubaliano Mpango wa uwajibika kwa jamii mwaka huu (CSR) kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (kushoto) Mkuu wa Sheria kutoka Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), David Nzaligo na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni …
Soma zaidi » -
13 August
WAZIRI MKUU: TAKUKURU HAKIKISHENI WATANZANIA HAWARUBUNIWI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ihakikishe Watanzania hawarubuniwi ili watumie vizuri utashi wao wa kisiasa kuchagua viongozi bora. “Sote tunatambua kuwa Oktoba, mwaka huu Taifa letu litaendesha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani… mna jukumu zito la kuhakikisha Watanzania hawarubuniwi na …
Soma zaidi » -
13 August
SERIKALI IMEENDELEA KUWEKA MIKAKATI ENDELEVU YA KUWAWEZESHA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA UCHUMI WA TAIFA – NAIBU WAZIRI MAVUNDE
Serikali imeendelea kuweka mikakati endelevu ya kuwawezesha vijana nchini kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali ili kuendelea uchumi wa Taifa. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Vijana …
Soma zaidi » -
12 August
WATOA HUDUMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUZINGATIA MAADILI
NA WAMJW- MANYARA Mkurugenzi wa tiba Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Grace Magembe ametoa wito kwa Watoa huduma za Afya nchini kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia maadili wakati wa kumhudumia mgonjwa. Dkt. Grace Magembe ametoa rai hiyo leo, wakati alipofanya ziara ya kukagua …
Soma zaidi » -
12 August
NAIBU WAZIRI MABULA AWATAKA WATENDAJI ARDHI KUTOA ELIMU YA SHERIA MPYA YA FEDHA KUHUSU UMILIKISHAJI ARDHI
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na viongozi pamoja na watendaji wa sekta ya ardhi katika wilaya ya Biharamulo katika ziara yake ya kikazi mkoani Kagera. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Kanali Mathias Kahabi jana. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba …
Soma zaidi »