Eng. Patrick MFUGALE aongelea kuanza kutumika Kwa Flyover kabla ya uzinduzi.

Barabara za juu katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam nchini Tanzania  zimeanza kutumika hii leo kwa majaribio ambapo uzinduzi rasmi utafanyika baada ya tarehe rasmi kupangwa.

Akizungumza mara baada ya kufanyika kwa uzinduzi huo wa majaribio injinia Patrick Mfugale ambaye barabara hizo zimepewa jina lake Mfugale Fylover amesema kuwa hatua hiyo imepunguza foleni kwa kiasi kikubwa

Ad

Hata hivyo kituo cha abiria kilichohamishwa kimeleta usumbufu kwa wananchi

Akifafanua kuhusu  vituo vya kushusha abiria injinia Mfugale amesema vituo rasmi katika eneo la Tazara vitapangwa vizuri baadaye.

Wananchi nao wamepongeza juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WOMENLIFT HEALTH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Maelezo kutoka kwa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *