Maktaba ya Kila Siku: September 17, 2018

TANESCO KUOKOA MIL. 450 KILA MWEZI BAADA YA KUZIMA MITAMBO YA KUFUA UMEME INAYOTUMIA DIZELI RUVUMA

 Moja ya mitambo ya kufua umeme wa mafuta ya dizeli uliokuwa kwenye kituo cha Songea ikiwa imezimwa. Kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya dizeli iliyokuwa ikitumika kufua umeme kwa matumizi ya mji wa Songea na vitongoji vyake Septemba 13, 2018 baada ya kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, Shirika la umeme …

Soma zaidi »