Utandikaji wa reli ya kisasa ya SGR umeanza leo rasmi katika eneo la Soga Kibaha Mkoani Pwani, ambapo awamu ya kwanza itafanyika katika kilometa 55.
Ad
Utandikaji wa reli ya kisasa ya SGR umeanza leo rasmi katika eneo la Soga Kibaha Mkoani Pwani, ambapo awamu ya kwanza itafanyika katika kilometa 55.
Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …