FLYOVER YA ENG. MFUGALE; KUTOKA WAZO, AHADI, MAAMUZI, USIMAMIZI HADI UHALISIA!

“Mtakumbuka ndugu zangu.. wakati tukiomba kura.. ili tuchaguliwe; Tulieleza mengi.”

“Na moja ya yale tuliyoyaeleza..na hasa mimi nilipokuwa hapa Dar es Salaam, nilisema nitahakikisha barabara ya Flyover inajengwa na Dar es Salaam inabadilika.”

Ad

“Ahadi ni deni. Nina uhakika kwa wana Dar es Salam leo ni ushahidi tosha.. kwa sababu tulipokuwa tukijinadi walisema hilo haliwezekani..”

ijengwe barabara ya juu kabisa hapa Dar es Salaam?! Ili watani zangu wazaramo wawe wanafungia ndoa huko..hicho hakiwezekani!”

“Lakini hayawi hayawi, yamekuwa..”

“kazi yangu itakuwa ni kuchapa kazi tu..kazi tu.. kazi tu..” – Rais Magufuli

#SisiNiTanzaniaMpyA

Kutazama video ya Mhe. Rais Magufuli akieleza wazo la kujenga Flyover; Bofya link ifuatayo:-

#MATAGA

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MRADI WA MAJI SAME MWANGA KOROGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maji Maji wa Same – Mwanga – Korogwe wakati alipotembelea chanzo cha mradi huo eneo la la Nyumba yaMungu Wilaya ya Mwanga wakati akiwa ziarani mkoani Kilimanjaro tarehe 21 Machi 2024. Makamu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *