Msanii wa Kizazi Kipya arudi nyumbani kwao Tandale na kusheherekea kumbukumbu yake ya kuzaliwa pamoja na kawazi wa eneo hilo alikozaliwa na kukulia.

LATE LIVE: MSANII WA KIZAZI KIPYA DIAMOND ARUDI KWAO TANDALE

  • Agawa bure kadi BIMA ya AFYA kwa watu 1,000
  • Baadhi wabahatika kupata zawadi mabalimbali ili kukuza uchumi na mtaji ikiwemo bodaboda, mtaji kwa akina mama na nyinginezo.
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awa Mgeni Rasmi na kutoa amri ya kuongeza muda wa buirudaniu kwa siku za wikiendi. Sasa burudani zitaongezeka mpaka saa 8 usiku kwa siku za wikiendi
  • Ni katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MRADI WA MAJI SAME MWANGA KOROGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maji Maji wa Same – Mwanga – Korogwe wakati alipotembelea chanzo cha mradi huo eneo la la Nyumba yaMungu Wilaya ya Mwanga wakati akiwa ziarani mkoani Kilimanjaro tarehe 21 Machi 2024. Makamu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *