Maktaba ya Mwezi: June 2019

WAZIRI WA AFYA AZINDUA KAMBI YAKUTOA MIGUU BANDIA 600 MOI

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (MB) leo amefungua kambi maalum ya kupima na kutengeneza miguu bandia zaidi ya 600 kwa watu wenye uhitaji ambao walijiandikisha. Waziri Ummy amesema Kambi hiyo ya utoaji miguu bandia bure inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya …

Soma zaidi »

MUONEKANO WA UJENZI WA MIUNDOMBINU WEZESHI KWENYE UJENZI WA NEW SELANDER BRIDGE

Daraja hilo litajengwa kwa miezi 36 sawa na miaka mitatu, likiwa na urefu wa Kilomita 6.23 huku Kilomita 1.4 zikipita juu ya Bahari. Daraja litalopambwa na nguzo za zege mithili ya viganja vya mikono ya binadamu litaunganisha barabara ya Barack Obama na eneo la Coco Beach katika makutano ya barabara …

Soma zaidi »

MKUTANO WA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KUFANYIKA NCHINI CHINA KUANZIA 19-26 JUNE 2019.

Ubalozi wa Tanzania nchini China kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii nchini (TTB) umeandaa mikutano ya kutangaza utalii kuanzia tarehe 19-26 June 2019.Mikutano hiyo itafanyika katika miji ya Beijing(19th),Shanghai (21st) Nanjing (24th) na Changsha(26th) na kuhudhuriwa na tour operators, travel agents na media kutoka Tanzania na China. Wadau wa utalii …

Soma zaidi »

MIRADI 15 YENYE THAMANI YA TSH. BILIONI 22.9 YAZINDULIWA WILAYANI ARUMERU

Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio za siku mbili katika halmashauri mbili za wilaya ya Arumeru ambapo jumla ya miradi 15 Kati ya Miradi 16 yenye thamani ya Bilioni 22.9 imezinduliwa, kuwekewa mawe ya msingi, na mingine kukaguliwa na kuangalia uendelevu wake Akihitimisha mbio hizo za mwenge kwa halmashauri ya Meru …

Soma zaidi »

RC NDIKILO ARIDHISHWA NA UJENZI WA NYUMBA 42 ZA ASKARI MKOANI PWANI AMBAZO ZITAGHARIMU SH.BIL. MOJA

Mwnyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo, ameridhishwa na ujenzi wa nyumba 42 za askari ambazo zipo kwenye hatua ya umaliziaji kwa kanda maalum ya kipolisi Rufiji na jeshi la polisi mkoani Pwani ambazo zitagharimu sh. bilioni moja. Aidha amewaasa wadau kushiriki kusaidia ujenzi wa …

Soma zaidi »