Maktaba ya Kila Siku: January 10, 2020

BALOZI SEIF: JUKUMU LA WATOTO WA SASA NI KUSOMA KWA BIDII ILI KUENDELEZA DHANA YA MAPINDUZI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Watanzania wanapoadhimisha Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar lazima wale walioshuhudia wajikumbushe wakati kile Kizazi Kipya kinapaswa kusoma Historia ili kujua vyema dhamira iliyopelekea kufanywa kwa Mapinduzi hayo. Balozi Seif Ali Iddi ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na …

Soma zaidi »

MWANAFUNZI WA MALANGALI AINGIA KUMI BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

#SisiTumeona SISI WATANZANIA TUNAWEZA Hivi sasa watoto wetu wanapata elimu bure bila malipo! ——————————— Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka. Matokeo haya ni muhimu zaidi kwa Taifa letu sababu kadhaa. Kwanza; Haya ni matokeo ya kidato cha Nne cha kwanza kutoka baada ya Serikali kupitisha uamuzi wa wanafunzi wa elimu …

Soma zaidi »