MAKAMU WA RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA HOSPITALI YA MAMA NA MTOTO KIVUNGE UNGUJA

1-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata utepe kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja Januari 09,2020 ikiwa ni moja ya Shamra shamra za kuelekea kwenye Maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kuadhimishwa Januari 12,2020.
5-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, katikati akiwa katika Picha ya Pamoja na Viongozi na Watendaji wa Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii zanzibar baada ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja  Januari 09,2020 ikiwa ni moja ya Shamra shamra za kuelekea kwenye Maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kuadhimishwa Januari 12,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
2-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo juu ya maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja kutoka kwa Daktari Dhamana wa Hospitali hiyo Dkt. Tamim Hamad Said mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi huo  Januari 09,2020 ikiwa ni moja ya Shamra shamra za kuelekea kwenye Maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kuadhimishwa Januari 12,2020.
3-01
Wananchi wakimsikiliza Makamu wa Rais  Samia Suluhu Hassan, wakati akihutubia Viongozi na Wananchi katika Kijiji cha Kivunge mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja  Januari 09,2020 ikiwa ni moja ya Shamra shamra za kuelekea kwenye Maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kuadhimishwa Januari 12,2020.
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: UZINDUZI WA MAJENGO YA OFISI YA MANISPAA NA MKUU WA WILAYA KIGAMBONI JIJINI DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, …

120 Maoni

  1. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-ar.com also known as the “Black Mamba”, is one of the most iconic and iconic figures in NBA history.

  2. RDBox.de https://rdbox.de bietet schallgedammte Gehause fur 3D-Drucker, die eine sehr leise Druckumgebung schaffen – nicht lauter als ein Kuhlschrank. Unsere Losungen sorgen fur stabile Drucktemperatur, Vibrationsisolierung, Luftreinigung und mobile App-Steuerung.

  3. Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristiano-ronaldo.ae is one of the greatest names in football history, with his achievements inspiring millions of fans around the world.

  4. Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.

  5. Kevin De Bruyne https://manchester-city.kevin-de-bruyne-ar.com is a name every football fan knows today.

  6. Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.

  7. Angel Di Maria https://benfica.angel-di-maria-ar.com is a name that will forever remain in the memories of Benfica fans.

  8. Казахский национальный технический университет https://satbayev.university им. К.Сатпаева

  9. Bella Hadid https://img-models.bella-hadid-ar.com is an American model who has emerged in recent years as one of the most influential figures in the world of fashion.

  10. Brazilian footballer Ricardo Escarson https://orlando-city.kaka-ar.com dos Santos Leite, better known as Kaka, is one of the most famous and successful players in football history.

  11. Zinedine Zidane https://real-madrid.zinedine-zidane-ar.com the legendary French footballer, entered the annals of football history as a player and coach.

  12. The history of one of France’s https://france.paris-saint-germain-ar.com most famous football clubs, Paris Saint-Germain, began in 1970, when capitalist businessmen Henri Delaunay and Jean-Auguste Delbave founded the club in the Paris Saint-Germain-en-Laye area.

  13. Juventus Football Club https://italy.juventus-ar.com is one of the most successful and decorated clubs in the history of Italian and world football.

  14. Priyanka Chopra https://baywatch.priyankachopra-ar.com is an Indian actress, singer, film producer and model who has achieved global success.

  15. The Formula One World Championship https://world-circuit-racing-championship.formula-1-ar.com, known as the Formula Championship in motor racing, is the highest tier of professional motor racing.

  16. Mike Tyson https://american-boxer.mike-tyson-ar.com one of the most famous and influential boxers in history, was born on June 30, 1966 in Brooklyn, New York.

  17. Manny Pacquiao https://filipino-boxer.manny-pacquiao-ar.com is one of the most prominent boxers in the history of the sport.

  18. The golf https://arabic.golfclub-ar.com industry in the Arab world is growing rapidly, attracting players from all over the world.

  19. The Italian football championship https://italian-championship.serie-a-ar.com known as Serie A, has seen an impressive revival in recent years.

  20. In recent years, the leading positions in the Spanish https://spanish-championship.laliga-ar.com championship have been firmly occupied by two major giants – Barcelona and Real Madrid.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *