Ujenzi wa Gati namba 4 na 5 unaendelea kwa kasi ya juu katika Bandari ya Dar es Salaam,Ujenzi wa gati hizo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2020. Ujenzi wa gati namba 4 na 5 ni sehemu ya maradi mkubwa wa Dar es Salaam Maritime Gateaway Project (DMGP) wenye lengo la kupanua na kuboresha Bandari ya Dar es Slaam ambapo tayari ujenzi wa gati maalum ya magari, Gati namba 1 mpaka 3 umeshakamilika na Gati hizo zimeanza kutumikaUjenzi wa Gati namba 4 na 5 unaendelea kwa kasi ya juu katika Bandari ya Dar es Salaam,Ujenzi wa gati hizo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2020, Ujenzi wa gati namba 4 na 5 ni sehemu ya maradi mkubwa wa Dar es Salaam Maritime Gateaway Project (DMGP) wenye lengo la kupanua na kuboresha Bandari ya Dar es Slaam ambapo tayari ujenzi wa gati maalum ya magari, Gati namba 1 mpaka 3 umeshakamilika na Gati hizo zimeanza kutumika
Ujenzi wa Gati namba 4 na 5 unaendelea kwa kasi ya juu katika Bandari ya Dar es Salaam,Ujenzi wa gati hizo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2020, Ujenzi wa gati namba 4 na 5 ni sehemu ya maradi mkubwa wa Dar es Salaam Maritime Gateaway Project (DMGP) wenye lengo la kupanua na kuboresha Bandari ya Dar es Slaam ambapo tayari ujenzi wa gati maalum ya magari, Gati namba 1 mpaka 3 umeshakamilika na Gati hizo zimeanza kutumika