UJENZI WA GATI NAMBA 4 & 5 KUKAMILIKA MWEZI JUNI, 2020

B1-01
Ujenzi wa Gati namba 4 na 5 unaendelea kwa kasi ya juu katika Bandari ya Dar es Salaam,Ujenzi wa gati hizo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2020. Ujenzi wa gati namba 4 na 5 ni sehemu ya maradi mkubwa wa Dar es Salaam Maritime Gateaway Project (DMGP) wenye lengo la kupanua na kuboresha Bandari ya Dar es Slaam ambapo tayari ujenzi wa gati maalum ya magari, Gati namba 1 mpaka 3 umeshakamilika na Gati hizo zimeanza kutumika
B2-01
Ujenzi wa Gati namba 4 na 5 unaendelea kwa kasi ya juu katika Bandari ya Dar es Salaam,Ujenzi wa gati hizo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2020, Ujenzi wa gati namba 4 na 5 ni sehemu ya maradi mkubwa wa Dar es Salaam Maritime Gateaway Project (DMGP) wenye lengo la kupanua na kuboresha Bandari ya Dar es Slaam ambapo tayari ujenzi wa gati maalum ya magari, Gati namba 1 mpaka 3 umeshakamilika na Gati hizo zimeanza kutumika

B3-01B4-01B5-01B6-01

B7-01
Ujenzi wa Gati namba 4 na 5 unaendelea kwa kasi ya juu katika Bandari ya Dar es Salaam,Ujenzi wa gati hizo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2020, Ujenzi wa gati namba 4 na 5 ni sehemu ya maradi mkubwa wa Dar es Salaam Maritime Gateaway Project (DMGP) wenye lengo la kupanua na kuboresha Bandari ya Dar es Slaam ambapo tayari ujenzi wa gati maalum ya magari, Gati namba 1 mpaka 3 umeshakamilika na Gati hizo zimeanza kutumika
Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *