UJENZI WA JENGO LA KITUO JUMUISHI CHA UTOAJI HAKI

Jengo linalojengwa na Mahakama ya Tanzania la Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Jengo hili la ghorofa 3 litakuwa na Mahakama ya Mwanzo, Wilaya na Mkoa, ofisi za baadhi ya wadau wa Mahakama, Polisi, Ustawi wa Jamii, Mawakili na Waendesha Mashitaka.
Muonekano wa jengo linalojengwa na Mahakama ya Tanzania la Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) lililopo eneo Kihonda, Morogoro. Jengo hili litakuwa na sakafu nne yaani gorofa 3 na itajumuisha ngazi zote za Mahakama kuanzia Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Mwanzo pamoja na ofisi za baadhi ya wadau wa Mahakama wakiwemo Polisi, Ustawi wa Jamii, Mawakili na Waendesha Mashitaka.
Muonekano wa jengo linalojengwa na Mahakama ya Tanzania la Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) lililopo eneo Kihonda, Morogoro. Jengo hili litakuwa na sakafu nne yaani gorofa 3 na itajumuisha ngazi zote za Mahakama kuanzia Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Mwanzo pamoja na ofisi za baadhi ya wadau wa Mahakama wakiwemo Polisi, Ustawi wa Jamii, Mawakili na Waendesha Mashitaka.

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Nani aliyeunda Jumuiya ya Madola na kwa nini?”

Malkia Elizabeth II pamoja na mawaziri wake wakuu wa Jumuiya ya Madola mwaka 1962. Picha: …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.