Makamu wa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma pamoja na Spika Job Ndugai wakiwa katika hafla ya kuapishwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi IKulu Chamwino LeoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi Novemba 09,2020 baada ya Hafla ya kuapishwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali IKulu Chamwino LeoMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 09,2020 ameshiriki kwenye hafla ya kuapishwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali IKulu Chamwino.