Gati hilo jipya linajengwa kupitia mradi mkubwa wa maboresho ya Bandari hiyo unaofahamika kama “Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP)” utakaogharimu zaidi ya Dola za Marekani Milioni 350.Gati hilo jipya linajengwa kupitia mradi mkubwa wa maboresho ya Bandari hiyo unaofahamika kama “Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP)” utakaogharimu zaidi ya Dola za Marekani Milioni 350.