Hafsa Omar-Kagera Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, amesema Serikali inataendelea kuzipa kipaumbele Taasisi za Umma nchini katika usambazaji wa umeme vijijini ili siweze kutoa huduma bora kwa Watanzania. Ameyasema hayo , Agosti 16,2020 kwa nyakati tofauti wakati akiwa kwenye ziara ya kazi ya ukaguzi wa kazi ya usambazaji umeme …
Soma zaidi »BILIONI 100 KUPELEKA UMEME PEMBEZONI MWA MIJI
Veronica Simba – Arusha Serikali imetenga shilingi bilioni 103.8 kwa ajili ya kupeleka umeme katika maeneo yaliyo pembezoni mwa majiji, mikoa, manispaa na miji, nchi nzima. Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, alibainisha hayo kwa nyakati tofauti, Agosti 16, 2020 alipokuwa katika ziara ya kazi wilayani Arusha. Akizungumza muda mfupi …
Soma zaidi »WAZIRI AAGIZA MKANDARASI WA REA AKATWE MSHAHARA
Veronica Simba – Dodoma Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, ameagiza Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu, Mzunguko wa Kwanza, mkoani Dodoma akatwe asilimia 10 ya malipo yake kutokana na kuchelewa kukamilisha kazi hiyo. Alitoa maagizo hayo, Agosti 12, 2020 baada ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa …
Soma zaidi »KAMPUNI YA ANDOYA YATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA UMEME
Jiwe la msingi la Kampuni ya Andoya liliwekwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Mtandazi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,alipofanya ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, …
Soma zaidi »SERIKALI YATOA MSAMAHA WA KODI KWA MRADI WA UMEME GEITA – NYAKANAZI
Kasi ya Utekelezaji Mradi Mkubwa wa Kusafirisha umeme katika msongo wa Kilovolti 220 wa Geita-Nyakanazi wenye urefu wa kilomita 144 na unaosimamiwa na TANESCO imezidi kuongezeka baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha kutoa msamaha rasmi wa kodi ambayo ni zaidi ya takriban bilioni 25.Meneja wa mradi kutoka …
Soma zaidi »MRADI WA JULIUS NYERERE HATUA ZOTE 8 ZAKAMILIKA
Na mwandishi wetu, HATUA zote nane (8) za utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa bwawa la kufua umeme wa maji la Julius Nyerere (JNHPP-MW2115) kwenye bonde la mto Rufiji unaendelea kwa kasi inayohitajika, Mhandisi mkazi wa mradi huo Eng. Mushubila Kamuhabwa amewaambia waandishi wa habari kwenye eneo la mradi Julai …
Soma zaidi »WAZIRI DKT. KALEMANI AWACHARUKIA WANAOTOZA BEI KUBWA ZA UMEME
Veronica Simba – Sengerema Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, ametoa onyo kali kwa wazalishaji binafsi wa umeme, wanaowatoza wananchi gharama kubwa tofauti na bei elekezi ya Serikali. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kahunda, wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza, Julai 7, 2020, Waziri alisisitiza kuwa gharama stahiki ya umeme …
Soma zaidi »SERIKALI KUFIKISHA UMEME MGODI WA STAMIGOLD SEPTEMBA
Veronica Simba – Biharamulo Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuhakikisha kuwa, ifikapo mwishoni mwa mwezi Septemba, mwaka huu, umeme uwe umefikishwa katika Mgodi wa Dhahabu wa Stamigold uliopo Biharamulo. Alitoa maelekezo hayo jana, Julai 6, 2020 alipotembelea na kukagua maendeleo ya …
Soma zaidi »NAIBU WAZIRI MGALU ARIDHISHWA NA HATUA ILIYOFIKIWA KATIKA MRADI WA UMEME WA JNHPP
Hafsa Omar-Morogoro Naibu waziri wa Nishati, Subira Mgalu, Julai 2,2020 amefanya ziara ya ukaguzi ya maendeleo ya ujenzi wa Mradi mkubwa wa kufua Umeme kwa Maji wa Julius Nyerere(JNHPP) unaotekelezwa kwenye mto Rufiji. Katika ziara yake hiyo, aliambatana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya pamoja na …
Soma zaidi »TANESCO WAPEWA SIKU TANO KULIPA FIDIA KWA WANANCHI WA KIDAHWE
Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kidahwe,kata ya Kidahwe Wilaya ya Kigoma vijiji, Mkoani Kigoma,wakati akiwa kwenye uzinduzi wa kuanza malipo kwa wananchi ambao wameridhia kutoa ardhi yao kwaajili ya ujenzi wa kituo cha Kupoza umeme cha Kidahwe. Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani ametoa siku …
Soma zaidi »