WIZARA YA NISHATI

RAIS AMEWAAMINI WAZALENDO KUTEKELEZA JNHPP – NAIBU KATIBU MKUU MASANJA

Veronica Simba – Rufiji Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja, amempongeza Rais John Pombe Magufuli kwa kuwaamini wazalendo katika kusimamia utekelezwaji wa Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP). Alitoa pongezi hizo Oktoba 3, 2020 wakati akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoja …

Soma zaidi »

SERIKALI YAHIMIZA KUKAMILIKA KWA WAKATI KITUO CHA KUPOZA UMEME NYAKANAZI

Kazi ya ujenzi wa kituo cha kupoza umeme Nyakanazi ikiendelea. Taswira hii ilinaswa wakati wa ziara ya Timu ya Serikali inayosimamia Mradi wa Umeme wa Rusumo, kukagua maendeleo ya utekelezaji wake, Septemba 30, 2020. Kituo hicho kinatarajiwa kukamilika Februari, 2021. Serikali imehimiza kukamilishwa kwa wakati, ujenzi wa kituo cha kupoza …

Soma zaidi »

MRADI WA UMEME RUSUMO UNA MANUFAA MTAMBUKA KWA WATANZANIA – SERIKALI

Veronica Simba – Ngara Serikali imeeleza kuwa Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kagera, unaotekelezwa Rusumo wilayani Ngara, una manufaa mtambuka kwa Watanzania. Hayo yalielezwa jana, Septemba 28, 2020 na Timu ya Serikali kutoka Tanzania inayosimamia Mradi huo ikihusisha Wakurugenzi wa Bodi na Kamati ya …

Soma zaidi »

DKT. KALEMANI AZINDUA REA KITONGOJI KWA KITONGOJI

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wananchi Kitongoji cha Migombani,kijiji cha Bukene, Wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora(hayapo pichani), wakati wa uzinduzi wa mradi wa umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika, Septemba 24,2020,mkaoni humo. Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amezindua rasmi usambazaji wa Umeme katika kila kitongoji nchini ambapo …

Soma zaidi »

DKT. KALEMANI APIGA MARUFUKU MKANDARASI KUPEWA KAZI ZA REA ZAIDI YA MKOA MMOJA

Na Zuena Msuya na Hafsa Omari, Tabora Waziri wa  Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kuanzia sasa  ni marufuku kwa wakandarasi watakaotekeleza miradi Ya usambazaji wa umeme vijijini( REA), kupewa kazi katika mikoa miwili na badala yake sasa watapewa kwa kila wilaya bila kujali idadi ya vijiji vilivyopo. Dkt. Kalemani alisema …

Soma zaidi »

UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA KUZALISHA AJIRA 10,000

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni alipowasili kutia saini Waraka wa Pamoja Unaoagiza kuanza haraka mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania) kwenye sherehe fupi iliyofanyika Uwanja …

Soma zaidi »

NAIBU KATIBU MKUU NISHATI AKAGUA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE (JNHPP)

Mafundi wakiendelea na kazi ya kukamilisha lango la handaki la kuchepusha maji ya mto wakati wa kujenga Bwawa la kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Bonde la mto Rufiji wa Julius Nyerere. Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja alifanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi …

Soma zaidi »

MRADI WA PERI URBAN KUKAMILIKA KWA WAKATI

Hafsa Omar-Dodoma Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja amewataka wakandarasi wanaotekeleza mradi wa Umeme katika Vijiji vilivyo pembezoni mwa Mji (Peri-Urban) kukamilisha utekelezaji wa miradi yao ndani ya muda uliopangwa. Ameyasema hayo,Agosti 19,2020,wakati alipokuwa kwenye kikao na  Wakandarasi  wa mradi wa Per-Urban, kilichofanyika katika ofisi za Wizara …

Soma zaidi »

SERIKALI YAUNDA TIMU MAALUM KUMSIMAMIA MKANDARASI WA REA KILIMANJARO

Veronica Simba – Kilimanjaro Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ameunda Timu maalumu inayojumuisha wataalamu mbalimbali wa Serikali ili kumsimamia Mkandarasi anayetekeleza miradi ya umeme vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Alitangaza uamuzi huo katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kitongoji cha Kambi ya Nyuki, wilayani Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Agosti …

Soma zaidi »