Recent Posts

MRADI WA MAJI MLANDIZI MBOGA KUANZA KATIKATI YA MWEZI WA NNE

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ametembelea kiwanda cha mabomba cha Tanzania Steel Pipes kinachotengeneza mabomba ya kusafirishia maji kwenye mradi wa maji wa Mlandizi- Chalinze- Mboga, ambapo takribani mabomba 321 yameanza kusafirishwa kwa ajili ujenzi wa mradi huo unaotarajiwa kuanza katikati ya mwezi April. Amesema, kukamilika kwa mradi huo ambao …

Soma zaidi »

UTOAJI WA ELIMU BORA NI KIPAUMBELE CHA NCHI – WAZIRI MKUU MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema utoaji wa elimu bora kwa Watanzania ni moja ya vipaumbele vya nchi katika kuleta maendeleo na kufikia malengo ya Milenia 2025, Elimu kwa wote (EFA) na Mkakati wa Kupambana na Kupunguza Umasikini Tanzania (MKUKUTA). Amesema ili kuweza kufanikisha malengo hayo wanahitaji sekta hiyo kuwa bora, …

Soma zaidi »

PROF PALAMAGAMBA AKUTANA NA BARONESS LYNDA CHALKER

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi amesema mabadiliko yote ya sheria yaliyofanyika hivi karibuni katika sekta za madini,maliasili na uwekezaji yana lengo la kuweka mazingira bora zaidi yatakayoleta tija kwa Taifa na wawekezaji kutokana  na sheria mpya kuondoa utaifishaji (nationalization) na upokonyaji …

Soma zaidi »

WILAYA YA NKASI WAKAMILISHA MABORESHO YA VITUO VITATU VYA AFYA

Wakinamama wa Wilaya ya Nkasi, wamepongeza Serikali kwa kukamilisha maboresho ya vituo  vya afya  vya Wampembe, Kilando na Nkomolo na kuanza kutoa huduma kwa wananchi wa maeneo hayo. ”Hapa sasa hivi ni tofauti panahuduma nzuri Mungu ametuletea na vipimo yaani tunatibiwa bila kunyanyasika manesi wenyewe wanatupokea vizuri hata ukiwa mchafu …

Soma zaidi »