Recent Posts

WAZIRI KAMWELWE AWATAKA WATUMISHI SEKTA YA UJENZI KUONGEZA UBUNIFU

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amewataka wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), kuongeza ubunifu na bidii katika kazi wanazozifanya ili kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia yanayoendelea duniani. Mhandisi Kamwelwe, amesema kuanzia sasa wafanyakazi wa sekta hiyo wawekewe mkakati utakaowapa …

Soma zaidi »

UJENZI WA MZANI DAKAWA MKOANI MOROGORO UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 98

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), kujenga nyumba za watumishi kwenye mzani mpya unaojengwa Dakawa Mkoani Morogoro ili kuwapunguzia adha wafanyakazi watakaokuwa wakifanya kazi kituoni hapo. Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo …

Soma zaidi »

KIGOMA KUPATA UMEME WA GRIDI APRILI MWAKANI

Imeelezwa kuwa, Mkoa wa Kigoma utaanza kupata umeme wa Gridi kuanzia mwezi Aprili mwakani hali itakayopelekea Mkoa huo kupata umeme wa uhakika na Serikali kuokoa fedha zinazotumika kununua mafuta ya kuendeshea mitambo ya umeme kwa sasa. Hayo yalisemwa na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani katika wakati wa ziara yake …

Soma zaidi »

UJENZI WA KITUO CHA AFYA BWISYA UKARA MKOANI MWANZA WAKAMILIKA

Majengo ya kituo cha afya cha Bwisya Ukara, Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza Kilichojengwa kwa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli yamewavutia na kuwafurahisha wananchi wa eneo hilo ambao walikuwa wakikabiliwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za matibabu. Kukosekana kwa …

Soma zaidi »