Recent Posts

Ujenzi wa Reli Ya Kisasa ya Umeme; MATARUMA YA YAANZA KUTANDIKWA

• Kazi imeanza ikiwa ni siku nne kabla ya muda rasmi uliopangwa •• Utandikaji umeanzia eneo la Soga Kibaha mkoani Pwani ••• Utandikaji wa Reli kuanza siku chache zijazo •••• Kasi ya uchapaji kazi, ari, kazi ya kukamilisha ujenzi yazidi Usiku na mchana maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ yenye kupata Matokeo ChanyA+ katika …

Soma zaidi »

LINK YA RADIO CHANYA+

Endeleo kisikiliza Radio ChanyA+ MUDA HUU kwa kutumia simu yako/ laptop/ kopyuta kwa kubofya link hii 👇🏽👇🏽 http://myradiostream.com/mobile/MatokeochanyAtz #SisiNiTanzaniaMpyA+

Soma zaidi »

WANAOMPINGA RAIS WANYAMAZE – DKT. KASWAHILI

”Watu wawe fair kwake (Rais Magufuli kwa namna anavyochapa kazi) Wampe credit.. Reformation ya nchi masikini kama Tanzania ambayo ina vitu vyote.. then tu, ilikuwa inakaliwa na watu wachache wanatuvuruga tu.. wanagonganisha vichwa wanatuvuruga tu.. kwa sababu tu, hawataki kuwa na dhamira njema; Yeye (Rais Magufuli) anaingia ndani ya miaka …

Soma zaidi »

SGR YAKAMILIKA KWA 22%

Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya kwa ajili ya treni ya kisasa ya Umeme imekamilika kwa 22% imefikia hatua ya utandikaji wa MATALUMA yanatandikwa siku 6 zijazo. #SisiNiTanzaniaMpyA+ yenye #Matokeo ChanyA+ katika kila nyanja ya kukuza uchumi imara na madhubuti. #TunachapaKazi #MATAGA

Soma zaidi »

Rais Magufuli aonya watendaji kutumika

“Mmesikia hili sakata hili la Dar es Salaam.. eti Mkuu wa Mkoa (Mhe. Paul Makonda) ameleta makontena ameambiwa alipe kodi… kwanini asilipe kodi.? Sasa ukichukua makontena kule.. umezungumza na watu wengine labda au wafanyabiashara.., unasema ni makontena yako halafu unasema ni ya walimu.., wala hata shule hazitajwi.. maana yake nini..? …

Soma zaidi »