Recent Posts

“WAZIRI TIZEBA ANAFANYA KAZI KUBWA”-WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mamia ya wakulima leo tarehe 3 Octoba 2018 katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro wakati akimuwakilisha Rais, John Pombe magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA), (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mamia ya wakulima wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumzaleo …

Soma zaidi »

PROF.KABUDI AKUTANA NA WAZIRI WA KATIBA WA SMZ

Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Haroun Ali Seleiman. Prof. Kabudi yuko Zanzibar kwa ziara ya siku mbili na katika mazugumzo yao …

Soma zaidi »

SERIKALI YANUNUA MASHINE ZA MIONZI ZENYE THAMANI YA BILIONI 1.74

Serikali kupitia Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imenunua mashine za Mionzi (digital X-ray) zipatazo kumi zenye thamani ya shilingi bilioni 1.74. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu wakati akipokea mashine hizo kwenye Bohari ya Dawa(MSD)  jijini Dar. Waziri Ummy amesema kuwa Serikaki inaendelea kutoa kipaumbele katika …

Soma zaidi »

WAZIRI ULINZI Dkt. MWINYI ATEMBELEA MIRADI YA SUMA JKT

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi ameendelea na ziara yake ya kutembelea miradi mbalimbali ya SUMAJKT iliyopo mkoani Dar es Salaam. Ametembelea mradi wa uuzaji matrekta na zana za kilimo, kampuni ya ulinzi binafsi na kampuni ya huduma za kumbi za sherehe, mikutano na chakula.

Soma zaidi »

VIKUNDI VYA BUSTANI KUTOA FURSA ZAIDI ZA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Vikundi vya Kilimo cha Umwagiliaji ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini vimejipanga kutoa elimu itakayohamasisha vijana  na akina Mama  kuchangamkia fursa za kilimo cha umwagiliaji  hasa kwa jamii zinazoishi karibu na vyanzo vya maji mengi yanayoweza kutumika kwenye umwagiliaji. Hayo yamesemwa na  Gudluck Wambwe ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi cha …

Soma zaidi »

WAZIRI JENISTA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MKULAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama ametembelea Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha sukari cha Mkulazi (Mbigili) Mkoani  Morogoro kuona maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho kuelekea katika hatua ya kuanza uzalishaji. Akizungumza katika ziara hiyo, Waziri Mhagama amewataka …

Soma zaidi »